Mbna mnakua mandorobo kutambua vtu vdogo ka hivyo?mambo meng atakayofanya rahic ataongozwa na katiba na washaur wa chama hucka.na huenda edo ameona yote na kugundua hawakua sahih.sasa amekuja ukawa baada ya kuona kwel wana nia ya kulikomboa taifa,sasa ww shida nn hasa?
Atakubalika tu coz anafanya vzr.si km hatumtaki maguful bali hatuitaki ccm kutokana na mfumo wake wa utawala ambao huvumilia mafisad,kutunza sir za ruswha,kutowajibisha viongoz wazembe,kupeana vyeo kiundugu na kiurafiki,kutoa ahadi ambazo hazijatekezwa hadi leo hii na mengine mengi,haya ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.