labda ni kuchokwa kwa siasa na wanasiasa jijini mwetu Mbeya, mapokezi ya Mh leo hayakuwa kama enzi hizo, watu wanalazimishwa kushangilia kwa uchache wao, mabango mawili moja la bodaboda lingine la ccm vyuo vikuu, msafara wenyewe umeishia kutoa kafara tu, imetokea bonge la ajali maeneo ya nzovwe...