Recent content by Sido M

  1. S

    John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

    Yani shibuda amemsaliti Zitto tena
  2. S

    Haki ya kujiunga na ACTwazalendo kwa mujibu wa Katiba ya Act

    Zitto Kabwe tuambie wale wabunge 52 wako wapi?
  3. S

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Wana bodi,Ule msemo kwamba CCM inamilikiwa na mafisadi unatimia, kundi hilo kubwa sasa linapambana na vifisadi katika kile kinachoitwa kugombea Urais. CCM haina pa kutokea zaidi ya kufa kwa kupoteza katika chaguzi zake zote. Binafsi nilikuwa nina hofu na EL ,Makongoro na Agustino Ramadhani.Ndio...
  4. S

    CHADEMA yapoteza majimbo matatu tayari mpaka sasa

    Ni bora kupoteza Jimbo kuliko kukumbatia usaliti. Better few but better
  5. S

    Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ajivua uanachama CHADEMA

    Zitto alisema Arfi atagombea Mpanda Mjini, Arfi anasema hagombei itashinda CCM. Zitto alisema hagombei Ubunge wala Urais, sasa hivi mate yanamtoka kwa Ubunge. Usaliti mtupu. Wote wanafanana
  6. S

    Serikali ikifute Chuo cha afya cha Saint Aggrey Mbeya

    Nashukuru kwa ushauri lakini pia naamini hata humu taarifa zinaweza kusambaa pia. Asante
  7. S

    Serikali ikifute Chuo cha afya cha Saint Aggrey Mbeya

    Na leo hii Dr. Stephen Muchina amefukuza jumla ya Wanafunzi 24 huku akijua yeye hana mamlaka kama Academic Officer, pia hata Sheria za Chuo hazitoi mamlaka kwa Mkuu wa Chuo kufanya hivyo bali ni Displinary Commitee ambayo haijakaa
  8. S

    Serikali ikifute Chuo cha afya cha Saint Aggrey Mbeya

    Ndugu zangu, Natoa taarifa za kusikitisha kuhusu Chuo cha Afya cha Saint Aggrey kilichopo jijini Mbeya, Mwanjelwa eneo la Sido. Chuo hiki kinatoa mafunzo katika kozi za Nursing, Clinical Medicine na Maabara katika ngazi ya Cheti. Chuo hiki kinaongozwa na familia ya Mwambusi chini ya Mkurugenzi...
Back
Top Bottom