Binafsi sioni tatizo kama lengo ni kumsaidia mtoto afaulu vizuri na pia wazazi punguzeni lawama zisizokuwa na kichwa wala miguu hizo senti za sh 200 ndo zinakufanya upige kelele sidhani kama ujinga utaisha kirahisi Tanzania kama tuna wazazi vichwa maji kama wewe.
Mimi pia nimepitia hali kama yako na nawashukuru sana walionilea na kufikia hapa nilipo na huwa mara kwa mara nawalipa fadhila kwani bila wao nisingekuwa hapa wana mchango mkubwa sana na kwangu Mungu awabariki sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.