Recent content by Sichone rodrick

  1. S

    Hongera TISS kwa kazi nzuri ya kulinda na kudumisha amani ya Nchi yetu

    Hata kujiuza ni kazi pia. Think twice
  2. S

    Hawa ndio wahujumu wa kiwanda cha Cement Dangote pamoja na Serikali

    Kana umemsikia vizuri anasema kuna siasa ndani yake na ujumbuke mkataba wa Dangote na serikali kwa habari za chinichini ulisainiwa mitaa ya Lumumba, ila tungoje mana sinema hii ni tamu mwanzo serikali ilikanusha sasa wameanza kuumbuka taratibu na hadi mwisho mchawi atajulikana tu.
  3. S

    Kwa makonda huyu! ukawa mtaomba po!!

    Hahahahahaha nacheka kwa dharau eti UKAWA wataomba po usijue anajitengenezea kaburi lake mwenyewe.
  4. S

    Rais Magufuli, Ma-RC wako Makonda na Gambo wanapata wapi 'mamilioni' wanayoyatumia? Watazame upya

    Hili suala hili ipo siku itafahamika na ndipo tutajua mbivu na mbichi hasa pale vijana hao wakishindwa kurejesha hiyo 7000 kwa siku na tunakoelekea vijana hao tutawakuta gerezani
  5. S

    Huyu ndio mtumishi wa umma wa awamu hii

    Nadhani muda si mrefu utaitwa mchochezi maana watumishi wa wanaowajali zaidi na kuwapa kila kitu ni Ulinzi tu acha wengine waisome namba
Back
Top Bottom