Bashe ana mipango mingi sana ambayo anataka avifanye kwa pamoja kitu ambacho kitamuangusha vibaya,huku alizeti,huku vijana, huku ngano,huku ku control soko,huku umwagiliaji vyote hivi wengi hawakuvipata kwa miaka michache walianza kimoja kimoja. Wakulima wa kweli sio sisi wa mitandaoni hawa...
Kama wewe sio mfanyakazi au kama ndio unaanza ni vyema kuwapa somo la nini unataka katika biashara yako, wafanyakazi waonr biashara katika jicho lako.
Kama sio mfanyakazi sehemu nyingine unahitaji muda mwingi maana unaweza ukawa na idea ila soko likakupa kitu tofauti so ukiwa pale utagundua...
Pole sana kaka. Biashara january na february ilikuwa ngumu sana. Hela ni ngumu sana kwasasa cha muhimu ni wewe sasa kuanza kuzitembelea hizo biashara zilizokuwa zinachukua mzigo. Kama ni bar basi tembelea muda wa usiku kaa mpaka mida mibovu uone mzunguko wao pia.
Tengeneza mazingira mazuri ya...
Pole kwa changamoto kaka. Eneo la biashara limekaaje?usafi?sifa ya eneo.
Biashara ya hotel kikubwa ni privacy na usalama. Mteja anatakiwa kujisikia huru muda wote.
Matangazo sio jambo la muhimu sana inategemea na services zenu tu.word of mouth itafanya kazi yake.
Kwa kifupi
Usafi ni jambo ambalo hatujaumbiwa watu weusi.watu weusi wengi ni wachafu sana.mtu anatumia choo maji yapo na bado ha flush choo au kumwagia tu.
Wafanyakazi wanasafisha,wanafua,wanafagia nje kumaintain usafi kwa hali nzuri ni ngumu maana mara nyingi wapo wachache.sasa ni vizuri watumiaji wawe...
hii ni michezo tu wanatuchezea hawa barrick....kwa uelewa wangu mdogo wa mfumo wa biashara BOARD OF DIRECTORS NDIO WENYE MAAMUZI YA MWISHO SIO OWNER/SHAREHOLDER...kuhusu economic benefits serikali ilijua tunapata nini...economics benefits hazitoki katika faida ya kampuni bali ingetoka kwenye...
serikali yetu imekuwa na muingiliano mkubwa wa kiutendaji....siasa imetawala kuliko taaluma za watu husika wanaopaswa kusimamia kazi zao...awamu ya tano imekuwa awamu mbovu sana sana kuanzia kiutumishi mpaka kiutendaji.waajiriwa wa serikali wamesahau kabisa ETHICS,MORAL,ACCOUNTABILLITY...
lakini mwaka jana 2017 shirika lilipata hasara ya 4.3billion..kama wasemavyo ila kama hakuna costs zao ni porojo tu
watoe full report kuwa revenue kwa mwezi ni 4.5billion costs ni billion kadhaa faida kabla ya interest, depreciation na tax......tutawaelewa kidogoooo revenue bila costs ni porojo...
1)uwezeshaji wa kupotea kwa pesa 1.5trillion bila mtu kuhoji
2)uendelezaji wa kazi nzuri ya kusaidia watu kuhama vyama na kupata tena vyeo walivyokuwa navyo bila mtu kuhoji
3)viwanda 3000+ kuanzishwa na uchumi kupanda kwa kasi nzuri wapinzani na wananchi kumuunga mkono
4)polisi kusimamia haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.