Jamani kwa aliyewahi kufanya hizo test please naomba anielekeze utaratibu wa hyo link ya kufanya aptitude coz kwenye email yao hawaja ionyesha wamenipa tu maelezo
sahiv sylabus zimebadilika kuna foundation stage, intermediate stage, na final stage nenda nbaa watakwabia pakuanza ila kama hauna background ya account utaanza foundation stage
thanks kwa info, ila juzi tu ndo nimetoka kwenye hiyo ofice uliyo sems hapo juu ndo nikaambiwa nilazima uwe na hiyo evidence kutoka board ndo utapata hiyo schoolarship coz ipo kwenye guidelines zao a long as unaomba schoarship from any friendly country
Jamani nasikia huwezi kupata hizo schoolarship za China mpaka uanze kulipa mkopo wa board ya mkopo. Naomba mwenye info za hizo process za kuanza kulipa anijuze na unaanza kulipa Tsh ngapi? Na chochote cha muhimu, na mwenye uwezo wa kunisaidia nipate hiyo scholarship please nisaidie nahitaji sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.