Recent content by Si Lazima tu DO

  1. Si Lazima tu DO

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Ahsante sana mkuu, umenisaidia sana kwa maana hapo mwanzo nilikuwa na mawazo tofauti kabisa.
  2. Si Lazima tu DO

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Samahani kiongozi, nilikuwa nataka kujua. Pindi ulipokuwa unaelekea kufanya presentation ulikuta wameshafanya connection ya computer utakayotumia pamoja na projector au ulifanya setting wewe mwenyewe? Pili, walikuruhusu kufanya presentation kwa muda gani na ppt presentation yako ilikuwa ina...
  3. Si Lazima tu DO

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta nyimbo za Nuruely_(1) Mimi narudi nyumbani (2) Wewe nifuate Maaa. Nahisi kwenye majini siko sahihi sana ila ndani ya nyimbo hizo mbili mashairi ya namna nilivyoandika hapo juu. Msaada tafadhali kwani nimekuwa nikizitafuta kwa muda mrefu! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Ni kweli kabisa hauwezi kubadilika siku zote utabaki kuwa nyumbu tu ndg. Kukaja Kununu [emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Kweli kabisa kosa ni la wazazi wako kuzaa toto pimbi kama wewe! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Wewe boya vidole vina fangasi nini? "Wanamatazo"/"Mweka" ndio nini hivi...??? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Tunakugombania wewe bibie! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Mimi ndio nimetembea na mke wako wewe[emoji29] Inasikitisha sana[emoji29] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Hili lipimbi hapa sijalielewa kabisa[emoji29] Inasikitisha sana[emoji29] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Imagine aisee! Halafu lenyewe linaongea upimbi tu...[emoji29] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Imagine aisee! Halafu lenyewe linaongea upimbi tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Na kuna kenge mwenzio anajivunia kabisa kama wewe ndio jamaa yake???? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Na wewe boya pia una umri gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Si Lazima tu DO

    Nimeificha hii Siri muda mrefu nimeona leo bora niwaambie ukweli

    Kiongozi hivi wewe una umri gani??? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Si Lazima tu DO

    Kuvaa vibaya na ukimwi

    Yawezakana pia yaweza kutowezekana, maana waweza kujua afya yako lakini ukakutana na mtoto mkali ukauza GAME chief[emoji4]. Mambo ya kupima pima tena kabla ya "game" ukayasahau na kuyaweka kapuni! Maana si unajua morale ya "game" tena haswa ikiwa karibu karibu, mambo yote husahaulika[emoji4].
Back
Top Bottom