Japo mimi sio kocha na sijawahi kuwa kocha wa mpira lakini ifike mahali makocha waache formation za kucopy na kupaste.
Eti unatumia formation fulani ya mpira simply eti kwa sababu inatumiwa dunia nzima, yaani hata kama huna hao wachezaji wa kusuport iyo formation utalazimishia tu ili mradi...
Ni kweli ila kwa kuanzia siyo mbaya, vinginevyo atajikuta anaingizwa kwenye kile chama bila kujua, kuna watu wanafikiri malipo makubwa yanatokana na kupigana tu au kuimba tu nk, ukiona mtu analipwa malipo ya ajabu yaani makubwa sana basi jua ni member wao tayari, zaidi ya hapo utalipwa kawaida...
CCM unibunifu wao uko kwenye wizi wa kura tu, kila uchaguzi wanabuni mbinu za namna ya kuiba maana siasa iliwashinda siku nyingi sana, na katika ubunifu wa wizi wa kura kwa kweli hapa wamefanikiwa hasa ikizingatiwa wahusika wakuu ni vyombo vya usalama.
Mtibwa ni timu ya chama kama ilivyo kwa channel ten, itakuwa ilitolewa amri tu, kuwa waachiwe washinde, siunajua ubingwa safari hii unatafutwa kwa njia yoyote ile ili mradi ubingwa upatikane.
Kwa hiyo hao ccm wauaji na wezi ndio wenye busara yaani wabambikiaji kesi ndio wenye busara? Acheni unafiki acheni lisu awaambie ukweli ndio maana mlitaka kumuua.
Nimekuwa nikifuatilia andiko nyingi sana kuhusu madhara covid vaccine, lakini mpaka sasa sijaona andiko lilolo andika lengo kuu la covid19 vaccine, na ili ulijue lengo kuu ni lazima utizame katika mtizamo wa kiulimwengu wa kiroho.
Sipingani wanayaoandika, hii ni kwa sababu covid pandemic iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.