Recent content by shuky01

  1. S

    Ninatengeneza tender Documents

    Shuky's Tender Solutions We are professional in preparation of Bidding (Tendaring) Documents for all your Business Tendering needs. We insure details and high accuracy for proper guarantee of your business successful Bid For any inquires please contact us via Mobile: +255 712384084 Email...
  2. S

    Tender

    Shuky's Tender Solutions We are professional in preparation of Bidding (Tendaring) Documents for all your Business Tendering needs. We insure details and high accuracy for proper guarantee of your business successful Bid For any inquires please contact us via Mobile: +255 712384084 Email...
  3. S

    CBE post za lab Technician vipi wameshaita watu?

    Habari wana jamii forums. Ninahitajibkufahamu kama post za Lab Technician walizotangaza CBE mwezi May mwisho wa ku-apply ilikuwa May 11 vipi wameshaita watu kwenye usaili!?
  4. S

    Natafuta tenda ya ku-supply mayai Dar es Salaam

    Hiyo ya kupeleka kwa mawakala sijajaribu. naomba unijuze uwa inakuaje kuaje. Pia kama utaweza kunisaidia namba ya wakala mmoja nimtafute utakuwa umenisaidia sana mwana JF mwenzangu
  5. S

    Natafuta tenda ya ku-supply mayai Dar es Salaam

    Hiyo ya kupeleka kwa mawakala sijajaribu. naomba unijuze uwa inakuaje kuaje. Pia kama utaweza kunisaidia namba ya wakala mmoja nimtafute utakuwa umenisaidia sana mwana JF mwenzangu
  6. S

    Natafuta tenda ya ku-supply mayai Dar es Salaam

    Habari wana JF Kwa yeyote anae tafuta mtu wa ku-supply mayai kwamatumizi ya mahotelini,vibanda vya chips, duka, au hata nyumbani tuwasiliane. Bei yangu ni poa sana 7500/= Kwa tray. Tenda ya kuanzia tray kumi utapata disscount. Ukihitaji kufikishiwa mzigo ulipo pia tunaweza kukuletea. Piga...
  7. S

    TICTS Updates

    Pale ni kujuans kwa sana ndugu yangu, kama huna unae mfahamu wewe kausha tu unawezakuta watu walishaanza kazi kitambo na mshahara wamesha pokea. Kama unamtu unamfahamu ndo umuulize akupe updates.
  8. S

    Tatizo la ajira - mbinu mpya ni kufanya internship

    Mimi niliwai kufanya internship mahali kwa muda wa miezi mitatu, na kabla ha yapo niliwahi kufanya ofice hiyo hiyo field kwa miezi sita, kwahiyo ukichukua hiyo miezi mitatu ya internship na iyo miezi sita ya field inakuwa jumla ya miezi tisa, na walikuwa wakinitumia kihaswa haswa, nilicho kuwa...
  9. S

    Nataka kufanya Biashara ya kuuza mkaa jumla na rejarej

    Habari wana JF nataka kuanza biashara tajwa hapo juu. Yeyote mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba anijuze gharama zake ziko vipi na kodi za watu wa misitu ziko vipi, Na kama ni biashara yenye faida nzuri. Nina mtaji wa Tsh 2,000,000 Milioni mbili tu. Asanteni.
  10. S

    Anayehitaji line ya tigo tigopesa na navodavodacom vodacomM-pesa

    Mimi nahitaji ya AIRTELL MONEY mkuu. Nikupataje, bei inapungua? plz naomba namba yako nilutafute tufanye biashara fasta.
  11. S

    Nauza Huawei Ascend G730

    Brand New Huawei Ascend G730 5.5" nchies Lion battre Android 4.2.2 1GB RAM, 4GB R0M You get with chager, earphones, and screen protector CONTACT 0712384084 0714377658 (whatsapp)
  12. S

    Nimeitwa kwenye Usahili BOT

    Hongera sana mdau!!! nitakuja kukuomba kazi hapo kwenye kiwanda cha kutengeneza hela (BOT)
  13. S

    Should I Quit ?

    Asante programer
  14. S

    Job Opportunity..Smart Codes

    Mshahara wao mdogo sana kwa kazi hiyo ya web development waangalie tena aiseee!!!
Back
Top Bottom