Ila jamani katiba yetu ni mbovu angekufa mama samia eti leo ndenjembi angekuwa rais. Sawa marehemu apumzike ila MUNGU amekosea angevuta muhusika mwenyewe
Kihongosi anafikiri kwa kutumia makalio Yani chadema wafanye maridhiano wakati mwenyekiti mmemuweka mahabusu kwa kesi ya kipumbavu . Mbona mmekomaa na chadema simfanye TU nyie maridhiano na vyama vingine kwani lazima chadema wahudhurie.
Fanyeni nyie wenyewe mbwa nyie mnakera sana wauaji wakubwa
Nyie ccm hamna akili wote kama mnajua bila chadema au lisu mnaweza kufanya maridhiano simfanye mnatupigia kelele TU . Hakuna haja ya kupiga kelele iteni wapinzani uchwara mfanye basi. Hamna akili kweli yani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.