Recent content by shuka chini

  1. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wamuomba Rais Samia fursa ya kusafiri naye nje ya nchi. Awakubalia

    Takataka eti wapinzani
  2. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya makubwa kuliko Marais wote Tanzania ila vijana wameharibiwa na Mange Kimambi

    Hakika ni makubwa cement 29000/30000 mafuta 4200
  3. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Mzee wanawake ni shida sana aise
  4. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Leo amekoment
  5. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Hawezi ananijua aise .Sijui wanawake wanaakili Gani
  6. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Yani mwamposa anatuona kama makali yake
  7. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    😀😀😀😀😀😀😀😀Yani sasa wanawake hapo ndio usiwambie. Make wangu kila siku chaneli yake ni ya suguye mara ukute ameweka mkono kwenye tivii aeti kaambiwa na suguye Yani huwa nachekea moyoni nasema hiiii!
  8. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Wafuasi wote wa mwamposa hawana akili
  9. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Hakuna hata mmoja
  10. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Aise tunaongozwa na viongozi wa ajabu. Hawataki watu waseme. Ugaidi umekuwa jambo la kawaida sana Nasema hivi ifike hatua viongozi mtumie busara na hekima kama sio akili. Nipo hapa gaidi mpya mje mnikamate. Mnatia hasira vilaza nyie
  11. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Hii nguo Kila nikiivaa nakutana na watu si chini ya watano Kwa siku wameivaa pia

    Wewe ni mtoto au mkubwa mbona kama nguo ya mtoto iase
  12. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe jinsi Tundu Lissu alivyo mtoa kamasi mwana CCM

    😀😀😀😀😀😀😀eti wewe ni mwanasheria wawapi
  13. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hapo ni masuala ya lisu au makamu wa rais tenaitakuwa makamu
  14. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Chadema Kilwa: CHADEMA yetu inatumia mabavu na haifuati katiba ya chama

    Viongozi WA CCM wote ni majizi kila mwaka tunasomewa mabilioni yanayoibwa hatuoni watu wakiwajibishwa. Leo wanawahonga viongozi njaaa ili kumchafua heche na kuidhoofisha chadema . Naamini watashindwa na najua wataibuka wengi wa stahili hii. Heche amewabana kende wanaccm ndiomaana wanatafuta...
Back
Top Bottom