😀😀😀😀😀😀😀😀Yani sasa wanawake hapo ndio usiwambie. Make wangu kila siku chaneli yake ni ya suguye mara ukute ameweka mkono kwenye tivii aeti kaambiwa na suguye Yani huwa nachekea moyoni nasema hiiii!
Aise tunaongozwa na viongozi wa ajabu. Hawataki watu waseme. Ugaidi umekuwa jambo la kawaida sana
Nasema hivi ifike hatua viongozi mtumie busara na hekima kama sio akili.
Nipo hapa gaidi mpya mje mnikamate. Mnatia hasira vilaza nyie
Viongozi WA CCM wote ni majizi kila mwaka tunasomewa mabilioni yanayoibwa hatuoni watu wakiwajibishwa.
Leo wanawahonga viongozi njaaa ili kumchafua heche na kuidhoofisha chadema . Naamini watashindwa na najua wataibuka wengi wa stahili hii.
Heche amewabana kende wanaccm ndiomaana wanatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.