Aise nilidhani ni Mimi TU ndio nimeona kumbe tuko wengi sana. Kiukweli mwigulu hana haiba ya uwaziri mkuu . Kiufupi huu utawala haueleweki kuanzia top hadi waziri mkuu Yani wapowapo tu.
Hata baadhi ya wabunge wanatamani bunge lingekuwa wabunge wa chadema. Lingependeza sana. Sio bunge la sasa uharo mtupu.
Kuanzia waziri mkuu hadi wabunge ni upumbavu mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.