Mimi nilimtongoza alinifanyia mbaya akanikutanisha na hawara yake ambaye ndio alikuwa mkuu wa kitengo da nilichambwa mpaka basi.
Ila Mungusaidia mkuu huyo akatumbuliwa eti sasa anajivuta tena kwangu. Nimesha mchunia huyu mbwa sura hana shepu hana ni tamaa tu.
Kama sio wilaya ya kaliua basi ni urambo maana tumbaku hulimwa kwa wingi huko hata kaka yangu alikuwa mkulima wa hilo zao.Na tulikuwa tunatoa burundi tunamix na kigoma wafanyakazi.
Maeneo ya kaliua huko igagala,usinge ,imalamakoye ,imaramihayo.mtoa mada ukipataja hiyo sehemu naijua vizuri.
Ila...
Wakuu poleni sana na majukumu ya kutwa nzima. Ipo hivi mke anataka kujua password ya simu yangu tena analazimisha.
Sasa nataka aguse simu nimpasue, leo napasua mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.