Recent content by shuka chini

  1. shuka chini

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Huyu mayala mbona kama afya yake inachangamoto
  2. shuka chini

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Mayala ni nani katika nchi hii
  3. shuka chini

    Kwanini 'Wachapakazi Hodari' wanaishia kuwa punda wa ofisi, Huku 'Wambea' Wakipanda Vyeo?

    Umeandika ukweli mzee kunawatu wanatafuta sifa kwenye haya maofisi ya watu .Wanakuja kushituka wanamiaka 50
  4. shuka chini

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    😄😄😄😃😃😃😃😃😃😃
  5. shuka chini

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    😄😄😄😃😃😃😃😃😃😃
  6. shuka chini

    CHADEMA kujenga ofisi ya makao makuu ndogo Dodoma

    Hilo jengo litajengwa kwa tabu sana kama nawaona wazee wa x kibali bomoa kwa mbali wanasogelea msingi wa jengo.
  7. shuka chini

    Hao mashahidi wa kificho kesi ya Lissu hawatajulikana milele?

    Mbona jf hakuna update ya kesi ya lisu jamani au imepigwa ban
  8. shuka chini

    Uzi maalumu kwa watu wa Kanda Ya Ziwa na Tabora "Wasukuma Thread"

    Nipo mzee majukumu tu na pia hawa wajinga walifungia jf
  9. shuka chini

    Wadada wa JF, tumewamiss, rudini jukwaani, mmepotea sana

    Hivi wadau jf itafunguliwa lini maana mimi siwezi kuingia bila vpn
  10. shuka chini

    Wasukuma ni jamii ambayo bado sana kustaarabika

    Wasukuma mkovizuri sana tena dada zenu wanatoa mzigo hadi raha
  11. shuka chini

    Msajili wa vyama vya siasa ni vema uifute CHADEMA kwa kuwa Chanzo cha Machafuko nchini

    Kuifuta chadema sio suluhisho. Mnatakiwa nyie na bibi yenu bi kirembwe mkae mjadili kwanini watanzania wamewakataa . Na hii ni trela bado mkanda 2030 mtaua watanzania wote.
  12. shuka chini

    GE2025 INEC mmeonyesha ulimwengu mlivo vilaza, hata kupika takwimu za kuiba kura mnashindwa

    Mnapoteza muda wenu kujadili kitu kinachofahamika wazi kuwa matokeo yamepikwa
Back
Top Bottom