Recent content by shuka chini

  1. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Bwana Mwigulu, Mchumi wa Makaratasi, uliyetembelea 'Uwezo wa Mzee Mpango", Acha Siasa za 1900, Unabwabwaja, Watanzania wa Sasa sio wa kuambiwa Upuuzi

    Nadhani huyu ndio waziri mkuu mjingamjinga na mpumbavu mpumbavu tangu uhuru
  2. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Bwana Mwigulu, Mchumi wa Makaratasi, uliyetembelea 'Uwezo wa Mzee Mpango", Acha Siasa za 1900, Unabwabwaja, Watanzania wa Sasa sio wa kuambiwa Upuuzi

    Aise nilidhani ni Mimi TU ndio nimeona kumbe tuko wengi sana. Kiukweli mwigulu hana haiba ya uwaziri mkuu . Kiufupi huu utawala haueleweki kuanzia top hadi waziri mkuu Yani wapowapo tu.
  3. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    Mimi kwa upande wangu ningetamani wasingepokelewa ni wapumbavu TU wanakela sana
  4. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Dodoma: CHADEMA yawasha moto Mkali, Bendera zapandishwa kila mahali Wabunge wa CCM wahudhuria kwa kificho

    Hata baadhi ya wabunge wanatamani bunge lingekuwa wabunge wa chadema. Lingependeza sana. Sio bunge la sasa uharo mtupu. Kuanzia waziri mkuu hadi wabunge ni upumbavu mtupu
  5. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Wewe tahilatahila hauna akili
  6. shuka chini

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msanii wa BongoFlava, Spack afariki dunia

    Pumzika nasisi tukonyuma yako
  7. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Huyu mayala mbona kama afya yake inachangamoto
  8. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Mayala ni nani katika nchi hii
  9. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wachapakazi Hodari' wanaishia kuwa punda wa ofisi, Huku 'Wambea' Wakipanda Vyeo?

    Umeandika ukweli mzee kunawatu wanatafuta sifa kwenye haya maofisi ya watu .Wanakuja kushituka wanamiaka 50
  10. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    😄😄😄😃😃😃😃😃😃😃
  11. shuka chini

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    😄😄😄😃😃😃😃😃😃😃
  12. shuka chini

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kujenga ofisi ya makao makuu ndogo Dodoma

    Hilo jengo litajengwa kwa tabu sana kama nawaona wazee wa x kibali bomoa kwa mbali wanasogelea msingi wa jengo.
Back
Top Bottom