Recent content by shuka chini

  1. shuka chini

    Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Haaaahaaaahaaa aise hawa wabunge wa magu bora wangetangulia nae maana katuachia mizigo eti nusu degree .
  2. shuka chini

    Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

    Mimi nilimtongoza alinifanyia mbaya akanikutanisha na hawara yake ambaye ndio alikuwa mkuu wa kitengo da nilichambwa mpaka basi. Ila Mungusaidia mkuu huyo akatumbuliwa eti sasa anajivuta tena kwangu. Nimesha mchunia huyu mbwa sura hana shepu hana ni tamaa tu.
  3. shuka chini

    Hili tukio lilinichekesha sana japo mwamba aliaibika mno

    Da msoto wa kuchoma ni balaa yale magogo jumlisha machela asikumbie mtu.Tumbaku inapesa ila inatesa.from mabedi hadi kufunga mabero ni mchakamchaka
  4. shuka chini

    Hili tukio lilinichekesha sana japo mwamba aliaibika mno

    Unamfahamu jamaa anaitwa kipara isa
  5. shuka chini

    Hili tukio lilinichekesha sana japo mwamba aliaibika mno

    Kama sio wilaya ya kaliua basi ni urambo maana tumbaku hulimwa kwa wingi huko hata kaka yangu alikuwa mkulima wa hilo zao.Na tulikuwa tunatoa burundi tunamix na kigoma wafanyakazi. Maeneo ya kaliua huko igagala,usinge ,imalamakoye ,imaramihayo.mtoa mada ukipataja hiyo sehemu naijua vizuri. Ila...
  6. shuka chini

    Nywila yangu ya simu yaleta ugomvi

    Nilimpa mkwara mzito hakugusa cm .
  7. shuka chini

    Nywila yangu ya simu yaleta ugomvi

    Sio lazima jina la kitabu lisadifu yaliyomo.
  8. shuka chini

    Nywila yangu ya simu yaleta ugomvi

    Kuna mbwa inataka kunipanda kichwani
  9. shuka chini

    Nywila yangu ya simu yaleta ugomvi

    Wakuu poleni sana na majukumu ya kutwa nzima. Ipo hivi mke anataka kujua password ya simu yangu tena analazimisha. Sasa nataka aguse simu nimpasue, leo napasua mtu.
  10. shuka chini

    Ndoa hizi zitatuua Jamani!

    Asante mkuu kwa ushauri
  11. shuka chini

    Ndoa hizi zitatuua Jamani!

    Haaaaaahaaa
  12. shuka chini

    Ndoa hizi zitatuua Jamani!

    Sina mazoea na huyu msimbe zaidi ya salamu tu.
  13. shuka chini

    Ndoa hizi zitatuua Jamani!

    Hakika mkuu
Back
Top Bottom