Recent content by shown cartel

  1. S

    Sijui atamwambia wife?

    Kuna mtu ame edit imejichanganya paragraphs Ilikua inaeleweka vizuri tu asubuhi Original ipo hivi Nyumba nzima hawakuamka alimpigia magoti mlokole asiendelee kuongea kwa sauti watu wasisikie Original version ilikua inaeleweka
  2. S

    Sijui atamwambia wife?

    Soma vizuri post Masai Dada umesoma haraka haraka
  3. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Kosa langu ni nini hadi mnanishambulia hivi!? Kudai haki yangu?
  4. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Hivi nimefanyeje hadi natukanwa hivi?
  5. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Siwezi kuachia damu yangu Mimi ndio nilimtafutia hiyo kazi anayoringa nayo Huku akijua ana vyeti feki Sijaelewa kwa nn mnakua wakali hivi badala ya kunishauri
  6. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Kwa hiyo nisidai haki yangu?
  7. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Hivi mama zangu nimekosea nini mpaka mnanikalipia hivyo? Kudai haki yangu ndo inakua nongwa?
  8. S

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Wakuu, 2006 Nilimpa binti mmoja mimba kwa bahati mbaya, nilimdanganya kuwa sina mke wakati nilikua nae mke alikua anafanya kazi kwenye stationary niliyokua napenda kufanyia kazi zangu tukapatana hapo, tukawa wapenzi. Kwa kweli nilitumia nguvu kubwa sana ya kiuchumi kumpata kiasi kwamba...
  9. S

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Uzinzi unatusumbua sana kwa kweli hasa sisi wanaume Tunatafuta dawa ya kuuacha bila mafanikio Anyway its ok
  10. S

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Naona hatuelewani Nachokisema mm ni kwamba mke Wa mtu sumu Madhara yanajulikana kwa nn uende pale pale? Sijaelewa unachokisimamia Unatetea huyo mgoni au? Una maana gani? Ndio maana nikasema kama mwanaume umelazimika kuchepuka usiende kwa wake za watu adhabu yake siku hizi wote tunaijua Sijui...
  11. S

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Kwa hiyo kubali kufukuliwa mavi siku ukishikwa
  12. S

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Sasa siku hizi ukishikwa adhabu ndo hizo So nikichepuka natafuta mtoto mbichi asiekua na Mme Wanawake walivyowengi hivi kwa nn tuchukue wake za watu tuwalete wengine maumivu makubwa ya moyo?
  13. S

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Utakua na matatizo Aliyekua anatomba mke Wa mwezie doggie ndo unamuonea huruma? Kumbe ni rahisi sana kuwajua wazini
Back
Top Bottom