Recent content by Showio

  1. Showio

    Simba vs ihefu leo

    ⚽️ Mabingwa watetezi Simba 🦁 wanafungua dimba la ligi kuu dhidi ya wageni Ihefu, mnyama atashinda ngapi leo? Simba kushinda ni uhakika Bofya Parimatch kucheza sasa
  2. Showio

    Mwenye notes za Economics na Geography kwa mfumo wa PDF

    Mwenye notes za Economics na Geography kwa mfumo wa PDF naziomba
  3. Showio

    Chukua tahadhari

    Amna kazi Raisi Hapa Duniani hata kama ungeambiwa kazi yako ni kukaa tu kuna siku utachoka utatamani usimame ila ndo hutakiwi. Manurse na madoctor wamekutana na challenge nyingi na wamezizoea ila hii ni challenge kubwa yao na wote tunaona jinsi wanavyopambania maisha yetu japo yao yapo...
  4. Showio

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Amna kazi Raisi Hapa Duniani hata kama ungeambiwa kazi yako ni kukaa tu kuna siku utachoka utatamani usimame ila ndo hutakiwi. Manurse na madoctor wamekutana na challenge nyingi na wamezizoea ila hii ni challenge kubwa yao na wote tunaona jinsi wanavyopambania maisha yetu japo yao yapo...
  5. Showio

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Hamna kazi rahisi hapa duniani; hata kama ungeambiwa kazi yako ni kukaa tu, kuna siku utachoka, utatamani usimame ila ndo hutakiwi. Manurse na madoctor wamekutana na challenge nyingi na wamezizoea ila hii ni challenge kubwa yao na wote tunaona jinsi wanavyopambania maisha yetu japo yao yapo...
  6. Showio

    Kwanini mimi?

    Kuna siku ,katika maisha yetu kila mtu hutaka majibu halisi ya maswali yanayoibuka kichwani mwake ,kwanini maisha ni magumu ? Kwanini maisha yapo hivi? Hata tunapolenga shabaha tulizojiwekea sisi wenyewe yaani makusudio au malengo ya maisha yetu tuliojiwekea.Bado tunaendelea kuhisi kama hatuna...
  7. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    Gsan Tremendouz, Well said brother! Happy Easter
  8. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    Thanks! Happy Easter
  9. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    Amina! Barikiwa sana
  10. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    Barikiwa sana! Happy Easter
  11. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    Thank you brother! Happy Easter
  12. Showio

    Unaona nini maishani mwako?

    WEWE UNAONA NINI?Kila siku unapoamka asubuhi utakutana na “Negative Forces” (Nguvu Hasi) ambazo ni lazima ujifunze kukabiliana nazo ili usipoteze furaha yako. Mtu mmoja aliwahi kusema “Train Your Mind to see the good in EVERYTHING. Positivity is a CHOICE.The HAPPINESS of your Life DEPENDS in the...
  13. Showio

    Itambue nguvu ya Asili na tabia katika maisha yako

    Hata siku moja mti au mmea hauchagui aina ya tunda la kuzaa. Muembe hauchagui kuzaa embe au zambarau ni lazima muembe uzae embe. Mchungwa hauna option ya kuchagua kuzaa chungwa au chenza, nilazima utazaa chungwa kwasababu hiyo ndio asili yake na ndivyo lilivyokuwa designed na aliyeliumba. Kuna...
Back
Top Bottom