Mkurugenzi Mtendaji wa Kamapuni ya Peoples Media Communication iliyo chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mikidadi Mamhomud amekataa kujiuzuu wadhifa wake mbele ya wajumbe wa Bodi ya Uhuru FM katika kikao kichoongozwa na kigogo wa CCM imefahamika.
Habari za uhakika toka miongoni mwa wajumbe...
Chama hiki kikubwa na kinachoongoza nchi kimeingia katika kashifa nzito ya mda mrefu ya kutafuna fedha za wafanyakazi wake Z za nssf na pia kuwalipa mishahara midogo tofauti na maagizo ya serikali inayoiongoza.miaka kumi hakuna nyongeza yoyote ya mishahara.
Tasisi tanzu ya CCM ya Peoples...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.