Kwani hilo la Kigamboni limeshakwisha?
Lakini kitu kingine nilichokigundua hapo ktk hilo gazeti ni KAMPENI ZA CHINICHINI.
Inakuwaje miradi mingi na mikubwa kama hii ifanyike kipindi hiki kuelekea uchaguzi?
Yule naye aliyesema Magufuli ni mchapakazi Mradi wa DART hivi umeshakamilika?
Maana huu...
Zote hizi ni ishara ya kuwa CCM hawataki kuachia madaraka.
Mi naamini kabisa wanachama wa CCM endapo wakishindwa Urais hawawezi kufanya fujo, ila kwakuwa wanaona dalili za kushindwa basi wanaandaa nguvu ya kulazimisha ushindi kwa kwa namna yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.