Recent content by SHISAM'S

  1. SHISAM'S

    Afikishwa Mahakamani kwa kumtisha Rais Magufuli kupitia mtandao wa WhatsApp

    Mimi nadhani watanzania tubadilike, tuache kuropoka na tukumbuke kwamba vyanzo vya machafuko ni sisi wenyewe. Mfano huyo aliyotuma ujumbe huo alifikiri msomaji atapata muudi gani baada yake? Nawaomba watanzania tuwe na fikira ya binafsi kujua matokeo ya ujumbe kabla hujatuma kwa jamii na siyo...
  2. SHISAM'S

    Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    Si kosa kama umeokoka kwa maana maamuzi hayatakuwa ya kwako bali ya Roho Mtakatifu, ila ni kosa kama hujaokoka kwa kuwa maamuzi yatakuwa juu ya Roho wa kisasi.
  3. SHISAM'S

    Rais Magufuli, kuwapunguzia mshahara walio juu ili uwaongezee wa chini ni sawa, lakini...

    Mimi nadhani kulipwa mshahara si wizi bali ni haki ya anayelipwa. Na ninaamini kwamba hakuna malipo yasiyo na sababu kwa nini alipwe hivyo kwa maana ya elimu aliyonayo, kazi anazozifanya, mda alotumikia na mengineyo kama hayo. Mimi mwenyewe natamani sana tuongezewe lakini je kwa watu kunyimwa...
  4. SHISAM'S

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Ni ngumu sana kufukuzana na gari kwa Miguu, Marekani ndo mwamuzi wa dunia, ndo anayeamua bei ya mazao unayolima, vifaa vya kazi unazotumia tena ndiye anayewezesha utendaji kazi kuwa mrahisi kwa kukuletea ulimwengu wa sayansi na technolojia. Leo unataka ujitenge nae, hebu fikiri kwanza kabla...
  5. SHISAM'S

    Je, Uchawi una nguvu kuliko sayansi?

    Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu, uchawi upo ila unamfika mtu aliyelegea kiimani. Hivyo kutoamini uchawi ni dawa ya kutokufika, ila ukiamini ndo utakukuta.
  6. SHISAM'S

    Upinzani wa Tanzania Unapokosea (Where the Tanzanian Opposition Get It Wrong)

    Wale hawakukosea walisema ukweli, ukawa nao wakaonyesha udhaifu wao wa kufikiri.
  7. SHISAM'S

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Upinzani wa awamu hii nimeupenda, ushabiki sifanyi ushabiki makufuli jembe wabunge hata majimbo yote yaende na ukawa ni sawa.
  8. SHISAM'S

    Ni uchaguzi wa waadilifu dhidi ya genge la wahuni - Lowassa anawakilisha genge la wasaka madaraka

    Sema imani yako kwa Lowasa, unadhani wote tunafikiri kama wewe?
  9. SHISAM'S

    Ni uchaguzi wa waadilifu dhidi ya genge la wahuni - Lowassa anawakilisha genge la wasaka madaraka

    Vijana tunazidiwa na wazee kufikiri! Inashangaza sana watu waliokuwa wakitoka nje ktk sakata la lichimondi wakiacha kujadili mambo ya msingi kwa kumtuhumu Lowasa leo anakuwa msafi tena. Kweli nchi ya wenda wazimu hii.
  10. SHISAM'S

    Ni uchaguzi wa waadilifu dhidi ya genge la wahuni - Lowassa anawakilisha genge la wasaka madaraka

    Tatizo tunavijana wengi wanaostahili kuwa hospital za vichaa. Chama kina maamuzi mawili- leo lowasa fisadi kesho lowasa safi, hapo mwendawazimu ni nani?
Back
Top Bottom