Tatizo liko kwetu wanaume .....tunapenda sifa zisizo na msingi. Unakuta mwanaume anajijua yeye ni Kalubandika hana pa kula wala pa kulala anamwaproach binti kwa adivitize kubwaaa ...akibanwa kuhudumia anakuja analalama JF....Si ulitaka mwenyewe lakini? ukiona mziki mnene huwezi kuucheza...
Tatizo la kujifanya matawi ya juu siku za mwanzo..kumbe ni kalubandika!!!.....Jitaidi uwe mkweli mtu akujue msimamo wako tokea siku ya kwanza....sio kujifanya mboga saba kumbe unashindia ugali na mbilimbi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.