Shida ni hiyo tarehe 08 mkuu sahili zimegongana na ni mikoa tofauti(dar na dodoma). Maana ninaimani nitavuka written ya tarehe 05 dodoma, kwa uweza wake Mungu.
Nimejichanganya kwa kweli, kwenye ratiba wameandika zote tatu, usaili wa kuandika, vitendo na mahojiano. Nipo njia panda, baada ya TRA kubadili ratiba ya usaili wa mahojiano kuwa tarehe 08/11, na hapo jana nimekuwa shortlisted utumishi mda's & lga's
Saili nilizonazo
Tarehe 05/11 -MDA's & LGA's...
Habari wakuu
Naomba kuuliza, hivi kwa kawaida huwa kuna usaili wa vitendo(practical) kwa kada ya technician II (civil) kwa mwajiri MDA's&LGA's, au huwa ni wa kuandika na mahojiano tu?
Status : INTERNSHIP/JOB SEEKER
Profession: CIVIL TECHNICIAN
Experience : FRESH GRADUATE
Education level : ORDINARY DIPLOMA IN CIVIL ENGINEERING
Age: 22 YEARS
Contact: 0677887740
SKILLS:
[emoji3502]Competent in preparation and design of Architectural and Structural drawings using ARCHICAD and...
Mambo yameenda kasi sana mkuu, ni jana tu nimefanya kama hivyo ulivyosema na nimeshapata getto na kulipia miezi 5, kwa sasa nípo mkoani ila nimeshapata pa kufikia mwezi ujao wa kumi.
Shukran kwa uzi bora mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu..
Natamani na mimi nipate getto, kwa anaefahamu kama kuna master room, location magomeni mapipa budget 100k, nisaidieni ndugu zangu!
Bila kusahau kifuta jasho
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.