Recent content by shingtoju

  1. shingtoju

    Tibaigana: Nchi inahitaji Rais dikteta

    Mtoa maada tilia kwene folen utumbuliwe mbona kelele mapeeema ata zamu yako bado
  2. shingtoju

    Rais Magufuli acha kumdhalilisha Kikwete

    Kumbe manafiki bado yapo ndivyo yalivyo hata ulibebe mgongon litakusema tu jinga kweli hili linafaa kunyongwa
  3. shingtoju

    Soma hii halafu fanya maamuzi sahihi

    Tatzo mitaji kwan nanianapenda kuajiliwa?
  4. shingtoju

    Imani niliyonayo kwa Magufuli, itakwisha atakapomteua Ridhiwani Kikwete

    Ushauli wangu kwa magufuri namuomba ajiunge humu jf maana kuna mengi ya kumshauli
  5. shingtoju

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Haya matanzania bhana shida kweli hayohayo kulalamika huduma mbaya hospitali,sasa wahuska wameanza kuwajibishwa nayaona tena yanasema anakurupuka,uongozi bora hauko hivyo yaan sjui uyafanyie nn haya matanzania yakuelewe
  6. shingtoju

    Nauliza tu, hivi ni sahihi kufuta kabisa safari za nje?

    Zimefutwa kwa mda ili wachunguze kwanza zip zina tija na zip hazna tija kwa taifa subili tamko litatoka
  7. shingtoju

    Nitamwona Magufuli yuko tofauti kidogo kama walau akifanya hivi...

    Mtoa maada amejaa unafiki kama hata mke watoa maada hajui mshahara wa mme leo hii unalopoka rais atangaze mshara wake! Hebu mwambie kwanza mkeo unalipwa shi ngap mbona umemficha?
  8. shingtoju

    Edward Lowassa aongea na vyombo vya habari, Amesema hatokubali matokeo ya uchaguzi mkuu

    Kubali kushindwa kuliko kutaka kuvuruga aman ya nchi na kumbuka umeanza kuing'ang'ania kuingia ikulu tangu mwaka gan lakn inashindikana kaa jiulize na fikilia ni kwann kwahiyo jua huna bahat ya kuingia ikulu usilazmishe kwenda ikulu wakati umeshindwa mzee
  9. shingtoju

    Ingekuwa ni Hon. Edward Ngoyai Lowassa, tungefurahia ushindi tangu hatua ya kwanza ya matokeo!

    Na hili wajifunze leo badala ya kuongeza wabunge bungen wanazdi kungua ivi hajui tatzo liko wapi? Au mnazan watanzania ni wapumbavu wakudanganywa tu leo unamwambia hii ni sumu ukinywa inaua harafu kesho unakuja unamwambia ni soda kunywa wakati jana ulimwambia sumu
  10. shingtoju

    Shuhudia mazishi ya CHADEMA Songea

    Walisema et "plate namba imetondoka tutaisomaje?" hube ni kweli imedondoka? Je wameisoma sasa? "Hapa kazi tu"
  11. shingtoju

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Niliwaambia mafuriko sio uwanjan bali ni kwenyw sanduku la kura si wanaona!!? Huku geita lowasa hana chake
  12. shingtoju

    ITV wamekuwa hawaoneshi Mikutano ya CCM ya Kampeni

    Magufuri rais wetu watanzania
  13. shingtoju

    Hotuba ya Lowassa yavuja

    Alikuwa wap zaman harafu nilizan atarudisha fesa yetu ya richmond aliyosepa nayo
  14. shingtoju

    Magufuli amuumbua Ridhiwani Kikwete Chalinze leo

    Hapa kazi tu" kasha anza kuwashugulikia sasa rizone chunga sana hili jembe jingne sio lile la home!!!
Back
Top Bottom