Haya matanzania bhana shida kweli hayohayo kulalamika huduma mbaya hospitali,sasa wahuska wameanza kuwajibishwa nayaona tena yanasema anakurupuka,uongozi bora hauko hivyo yaan sjui uyafanyie nn haya matanzania yakuelewe
Mtoa maada amejaa unafiki kama hata mke watoa maada hajui mshahara wa mme leo hii unalopoka rais atangaze mshara wake! Hebu mwambie kwanza mkeo unalipwa shi ngap mbona umemficha?
Kubali kushindwa kuliko kutaka kuvuruga aman ya nchi na kumbuka umeanza kuing'ang'ania kuingia ikulu tangu mwaka gan lakn inashindikana kaa jiulize na fikilia ni kwann kwahiyo jua huna bahat ya kuingia ikulu usilazmishe kwenda ikulu wakati umeshindwa mzee
Na hili wajifunze leo badala ya kuongeza wabunge bungen wanazdi kungua ivi hajui tatzo liko wapi? Au mnazan watanzania ni wapumbavu wakudanganywa tu leo unamwambia hii ni sumu ukinywa inaua harafu kesho unakuja unamwambia ni soda kunywa wakati jana ulimwambia sumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.