Recent content by shingta

  1. S

    Tunafikiri kwa kutumia lugha gani?

    Kuna lugha ya picha ndugu, nso maana kuna katuni hazina maneno lakini ukiitazama ilivyochorwa ujumbe unakufikia, ni namna ya mawasiliano ile. Hata picha ikipigwa kwa kusudi la kufikisha ujumbe flani ukiitazama utajua mpiga picha alikusudia kutuambia nini. Kuna lugha ya picha. Narudia lugha...
  2. S

    Tunafikiri kwa kutumia lugha gani?

    Umeniuliza kama najua maana ya lugha, nikakujibu, swala la unawaza kwa kutumia lugha gani ni jingine kabisa, mbona unatoa hoja tofauti na jina lako!
  3. S

    Tunafikiri kwa kutumia lugha gani?

    Ni utaratibu rasmi wa kuwasiliana kati ya binaadamu na binaadamu au wanyama wowote mwenye akili.
  4. S

    Tunafikiri kwa kutumia lugha gani?

    Lugha inamaana pana, yeye kwa jinsi anavyowasiliana hata kama ni kwa hisia kwa mfano harufu ndivyo atakavyofikiria, ndio lugha aliyozoea hiyo. Bubu anayeona atawaza kwa lugha yake, kiziwi na bubu ila anaona analugha yake, kipofu anayesikia na kunusa analugha yake atafikiri na kuwaza kwa kutumia...
  5. S

    Tunafikiri kwa kutumia lugha gani?

    Lugha uliyozoea
  6. S

    Hivi Kikwete yupo au kasepa? Nikweli anamwogopa Kinana kiasi hichi?!

    Hakuna aliye juu ya umma, atakuwa juu ya mafisadi wachache wanaotutumbukiza kwenye umaskini n chii, watch out ndugu, this is our country not theirs, who is kinana by the way??!! ,,we ni mwanae!!!!??? bure kabisa.
  7. S

    Hivi Kikwete yupo au kasepa? Nikweli anamwogopa Kinana kiasi hichi?!

    Kwa stiali ya michango yako mnafeli ndugu
  8. S

    Hivi Kikwete yupo au kasepa? Nikweli anamwogopa Kinana kiasi hichi?!

    Kwa hiyo yanayoendelea anayaona na anayafumbia macho! kama spika alivyoziba maskio kauli za mwanasheria mkuu wa serikali!!?? Basi tumkumbushe au haina haja, ni upepo tu utapita!?!?!?
  9. S

    Hivi Kikwete yupo au kasepa? Nikweli anamwogopa Kinana kiasi hichi?!

    Huna hoja kama Kinana na Nape. Mzidiwa hoja na UKAWA sasa hata katiba hawaitaki, magamba bure kabisa. Tanzania kumekucha kitambo, uko nchi gani ndugu?
  10. S

    Hivi Kikwete yupo au kasepa? Nikweli anamwogopa Kinana kiasi hichi?!

    Wana JF, hivi Mh. Rais Dr. Kikwete yupo au ndo keshasepa kwenye ziara huko duniani? Yanayohubiriwa na Kinana na Nape huku na huko kwenye majukwaa ya kisiasa anaambiwa au kuyasikia mwenyewe? Labda nimpe taarifa kuwa hawajamaa ( Kinana na Nape) naona wameshindwa kwa hoja na UKAWA sasa wanawaambia...
  11. S

    Mtanganyika anapokataa kusikia neno TANGANYIKA maana yake nini?

    Hapo ndo tatizo lilipo bob, hiyo kauli ya kuvaa koti la Muungano ni ya kuushi na kudhihirisha Tz Bara inainyonya Zanzibar, sio nzuri kutumika, we toa povu tu kwa vile BA au BSc. Ila utaelewa tu.
  12. S

    Mtanganyika anapokataa kusikia neno TANGANYIKA maana yake nini?

    Wengi hatujui kwanini msemo huu umekuwa na unatankwa kirahisi namna hii. Maana halisi ni kwamba Tanganyika inainyonya Zanzibar msemo huu ufe, ni mbaya kuliko tunavyofikiri! Tanganyika imevaa koti la Muungano! Kulikuwa hakuna maridhioano! Ndo maana Zenji wanaona tuna wanyonya tu. Hatuja vaa koti...
  13. S

    Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

    unadhani ya mabomu Nairobi na Mombasa ni Alshabab peke yao?! La hasha, Masheikh wameuliwa Mombasa, chuki ipo tena kubwa. Na pia uhai wetu upo kwenye kisasa. Sasa sisi wa Tz tulete kidomo domo, tutaja gundua rangi ya ngozi yetu, kuwa kabila moja, au majirani sio ithibitisho wa udugu, tuendeleeni...
  14. S

    Fahamu kuhusu Mwl Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania

    jamani hata manabii walitenda dhambi na kusamehewa na kupewa adhabu na Mwenyezi Mungu, mfano Mfalme Daudi alipomtamani mke wa askari wake na kuamuru askari yule awekwe astari wa mbele vitani afe ili yeye Daudi amzini mke wa askari yule! mwenyezi Mungu almsamehe na alimwadhibu Mfalme Daudi...
  15. S

    Hii Mikoa Nani Kailoga?

    Zanzibar ni nchi na hiyo ni mikoa tu ya Tanganyika. Hata kilimo kwanza kimedunda, endelea kusubiri big result now.
Back
Top Bottom