Wewe Kiluvia usifanye watu hawana akili hoteli ni ya Membe ni zile pesa ni za Gadaffi hata bungeni aliulizwa akajikanyaga pesa hizo wamegawana na JK baada ya Gadaffi kufariki.
Ndugu yangu Aweda issue hapa si serikali ya Zanzibar ni viongozi wetu tu hasa huyu JK. Kama alivyosema mzee wetu wa kuheshimiwa Warioba Mwalimu Nyerere aliacha nchi moja na Serikali 2 yaani ya JMT na SMZ. Na kwa wenye kumbukumbu au siye tulikuwepo zamani kidogo sherehe kama hizi (kwa mfano za...
Bily inaonekana siasa za Tanzania huzijui ndugu yangu. Wale mafisadi wa EScrow wameshawatumia wabunge wa CCM kuhakikisha huo mjadala leo hauendelei kwa namna yeyote ile. Wewe kaa kando ya Luninga uone vurugu zitakazotokea Dodoma leo halafu utakubali maneno yangu.
Huyu Amoni Mpanju anatumiwa na CCM ingawa yeye alienda kwenye BMK kutoka kundi la 201. Kuna wakati Ismail Jussa aai BMK kaba UKAWA hawajasusia alimtolea maneno makali hadi kumwambia ndio maana hana macho na huo ndio ukweli bora akose kabisaa hayo macho maana ni kibaraka mbaya sana wa CCM...
Hongera CCM kwa kuratibu hiyo ya kuwakutanisha hao WaSudan kusini Tatizo yenu yawanawashinda ngojeni Machi mwone moto wa nyikani unavyowaka ndio Knana atasoma nabana kuja yye ni Msomali.
Acheni hizo CCM ni chama kinacho aminiwa Duniani, kwa kuleta Ukombozi , Uhuru na mapatano Katika Afrika. Na...
Hongera CCM kwa kuratibu hiyo ya kuwakutanisha hao WaSudan kusini Tatizo yenu yawanawashinda ngojeni Machi mwone moto wa nyikani unavyowaka ndio Knana atasoma nabana kuja yye ni Msomali.
Hongera Chungurumbira. Samuel Sitta ni -------- tena sana kama walivyo MA CCM wenzake. Nawasihi UKAWA msiende kabisa kwenye hicho kikao alihoita maana choi kikao chake cha Arusi ya huyo Demu dada yangu aliyempachika mimba kule kwetu Dodoma nauze huo alionao. Kati ya hao Wachungaji anaodai...
Nakubaliana na Hess inawezekana TBC ndio waliopotosha kwa makususudi alichokisema Askofu. Hii inathibitishwa na hayo yaliyosemwa na Askofu Rais wa TEC jana. Last week niliandika hapa kwenye forum kwamba UKAWA wako tayari kurudi Bungeni hata sasa hivi ili mradi Rasimu ya Jaji Warioba ndio iwekwe...
Ni kweli Mkulima wa Kuku. Kanisa Katoliki kama kweli huo ndio msimamo wao basi wanaanza kuchemka. Wanapaswa wawambie CCM na hao Viongozi waliokuwa huko Iringa kuwa UKAWA wanaweza kurudi ili mradi Rasimu iliyowasilishwa na Jaji Warioba ndio iwekwe mezani na si vinginevyo. CCM ndio waliendekeza...
Kwani nani asiejua kwamba alimpikia majungu Sayore aliyekuwa Mkuu wake pale CTU Monduli then alipowekwa kitimoto mbele ya wenzake alikimbia na kuacha vitu vyake vyote na nauli ya kuja Dar kutoka Arusha alipewa na PIMBI wa Monduli ambaye alikuwa Ni Abdulrahmani Shimbo. Alipompa Shimbo unadhimu...
Sangarara ni hivi N/Spika aliposema Assumpter Mshama ni wa watu wa jimbo la Kongwa kwani huelewi? Assumpter Mbunge wa Nkenge Bukoba ameolewa na Julius Mshama wa Mtanana huko kwetu Kongwa. Mimi ni shemeji yangu na hata kampeni kule Bukoba alichukua vijana wa Mtanana kumsaidia. Hivyo Ndugai...
jamani kwani hao UAMSHO wako wapi huyo mama Asha Baraka ndiyo alikuwa kinara wa matusi tena dhidi ya Wazanzibari wenzake sasa UAMSHO kwenye lile Bunge la Katiba. Si mlisema Tindikali imetayarishwa kwa ajili yake akirudi kuoka Dodoma? Mmwagieni liwe funzo kwa wasaliti na wasatonge wenzake wa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.