Recent content by shine9091

  1. S

    Ninahitaji kutengeneza mikoba ya ngozi, nitapataje ngozi?

    Habari wanajamii, Nilikuwa na wazo la kutengeneza mikoba ya ngozi orignal. Naomba msaada kujua upatikanaji wa ngozi, nipo Dar es Salaam. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Nataka kuanzisha kampuni ya tours Geita

    Ni idea nzuri mkuu kutokan na mazngr yanayo kuzunguka bx utakapofanya maamuzi cz najua mambo ya mbugni tsht za tour muhimu ntaomba tender ya ku design na kuprint ...all da bst
  3. S

    Natafuta Tender ya printing

    Nimesha kujibu huko uliposema
  4. S

    Natafuta Tender ya printing

    Mkuu mbona unalalamika wakati hakuna swali ulilouliza au mimi sijaliona
  5. S

    Natafuta Tender ya printing

    Na print kwa 2000...art nd designing 15000 naanzia tsht 100 sorry kwakuchlew sikuw na crdt
  6. S

    Natafuta Tender ya printing

    Samahani wang najarb kuaad picx bt zinagoma sijajua shida nin
  7. S

    Natafuta Tender ya printing

    Habari zenu wapendwa Mimi najishungulisha na printing kama tshirt nilikuwa na tafuta tender popote pale 0659741124 Asanteni
  8. S

    Printing

    Najihusisha na kuprint tshirt. ..keyholders. ..kofia..sahani..bei kuanzia 2000inategemeana na ukubwa wa kazi yako na materials asante
  9. S

    Printing

    Asante sana mkuu
  10. S

    Printing

    Habari zenu wapendwa. .. Jamniii wenzangu mimi najihusisha na maswala ya printing natafuta tender kwa yeyote anayehitaji huduma au anayeweza nisaidia kupata Usiku mwema
  11. S

    Natafuta wateja

    Habar wapendwa Naomba kuwakilisha ..natafuta wateja wa kuku wa kizungu (broiler anaehitaji tuwasiliane 0659741124
  12. S

    Transfer paper

    Habar zenu wapendwa Samahani kwa wale wanaotumia machine ku print vitu kama tsht vikombe na vingine ... samahan naomba kujua bei ya tranferpaper na wapi naweza kupata
  13. S

    Tshirt prints

    Asante sana mkuu
  14. S

    Tshirt prints

    Ni kwel wangu ndo nilimanisha hivyo
Back
Top Bottom