Direct win sio option mzee. Huyo mthenge sporting alikiwa na odds 1.33 na home 12, pia
kulikuwa na mthenge mwingine PSV Nate alikuwa na odds chini ya 35 lakini kadroo.
Ukishakuwa na mpango wa kuweka stake kubwa akili inavuruguka kabisa. Katika mechi 100 unatafuta angalau yenye odds 1.25 na hupati unakuja kuangukia pua yaani ni kama ulichagua mechi ya kuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.