yule aliyetaka kujiingiza kubeti kama amekutana na matokeo ya madrid na ya PSG, halafu aje akutane na Barcelona au Man U inakuwa ni dawa tosha na yenye nguvu ya kuacha kubeti.
Ni sawa unajifunza kunywa pombe unaanza na ile sijui pingu ambayo kabla ya kunywa mama muuza anakufunga kamba humu...
Huwa zinasagwa kabisa, nimewahi kwenda tulikiwa na mafunzo fulani zinasagwa haziwezi kutumika kabisa. Linakuwa kama bonge lenye vipande vidogo sana vya noti vilivyoshikana pamoja.
Wiki iliyopita
Wiki iliyopita nilimpa azam ashinde 1H, wao wakaniwekea win kabla mechi haijaisha, wakati geita wanasawazisha na kuwa 1-1 dakika ya 44 mimi washanilipa hela. Nikachanganya faida na mtaji fasta nikabetia 16,000 ikakubali. Nikajaribu kubeti 4000 nikaona washasawazisha na...
Lawama hizi makampuni ya kubeti. Hapo alikuwa anaongoza Namungo wao wameweka anaongoza Singida. Ukiziotea hizi odds baadaye wanakuwekea madeni kwenye akaunti
Tunaendelea tulipoishia jana mpaka mwindi akimbie na chupi na arudishe hela.
Yangu, simba, Barcelona na arsenal wote win normal au win kubwa ya 1H kwa hizo za bongo
Kama umefanikiwa kukaa pembeni kwa muda mrefu ni heri usirudi tena. Kaa mbali na uzi maana hii kazi siyo kabisa. Wengine wanatamani kuacha hata kwa muda mfupi wanashindwa.
Kwanza ukishapanga kuweka hela kubwa na ipo kwenye akaunti kama sio mambo yako ndio palepale unaathirika kisaikolojia. Unatafuta mechi moja tu yenye odds angalau 1.4 lakini unakosa katika mamia ya mechi na kuangukia kwenye lost.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.