Ukipata pesa mingi unakuta matumizi yamebadilika na kuwa makubwa sana na akili ya mtu mwingine kabisa, zinapokaribia kuisha akili inarudi pahala pake na unaanza kuishi kwa uhalisia unakuta hadi 10k unaitumia kwa siku.
Mambo ya bea haya.
Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje!
Yaani hata ukitokea msala kazini ukabananishwa, wewe polisi sijui mpelelezi mpeleke bar mpe bia 3 na nyama.
Hapo hapo anaanza kufunguka kwamba yule bosi kwenye idara yako...
Nimea inayotoa harufu si mpaka iguswe! Mimi naijua mimea ambayo ukiigusa tu inatoa harufu chafu mavi yakasome. Ukiikuta pahala unajipitia zako taratibu tu.
Viazi sio kweli ila harufu ya ubwabwa mkavu hiyo nimekutana nayo sana kijijini porini. Tena kuna eneo nilikuwa nalijua palikuwa na makuni mazuri yamekauka, ukifika unaokota tu na kurudi nyumbani.
Masharti yake nilipewaga kuwa katika hilo eneo pana nyoka na huyo nyoka inawezekana anakuona...
Ile kudondosha noti ni taaluma kama taaluma kama nyingine, mwenye hela huwezi kuona inapodondoka ila utashuhudia mashine imehesabu kiasi kamili ambacho wewe umeona, lakini ukicheki kiasi ulichopewa unakuta pungufu.
Ni sawa na kuchezea karata tu ukizoea kuishi nazo.
Ukitoa taarifa polisi ya labda muhalifu wa mtaani, na wao wanamfata mhalifu wanamwuliza unaishi vipi na wenzako mtaani! Maana ndio wametupa taarifa zako.
Hapo ni baada ya kuchukua hela ya kiwi.
Huyo Ruto hanaga baya.
Kuna picha nimewahi kuona hapa hapa JF kabeba brief case lake sawa na wengine bila mbwembwe za wale walinzi wanaoonekana hadi kuwa kero.
Nina lipa ya voda na airtel.
Wakati wa kutoa;
» Voda hukatwi ila masharti utoe mara moja kwa siku. Ila nimesikia kuna baadhi wameanza kukatwa.
» Airtel wanakukata kiasi kidogo mara 1 kwa siku, ila mara ya 2 wanakata sawa na wengine.
Unapolipia kutoka tigo kwenda voda makato ni makubwa sawa na...
Sumsung wako vizuri sana kwa huduma za emergency kama hivyo.
Kuna nyingine wanayo unachagua kwamba ile power button ukipress mara 3 mfululizo inatuma msg kwenye contact uliyoseti wewe halafu inaambatanisha na location uliyopo.
Hata kwenye setting za wenye mahitaji maalum kama wasioona na...
Huwa nikifikiria niache bia namwachia nani!
Labda tuache wote.
Peponi kwenyewe kuna mito ya pombe.
Fikiria kama ule mto msimbazi ule unakuwa safari ya baridi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.