Recent content by Shin Lim

  1. Shin Lim

    Wazee nahisi kuna mtu amenicheza, nikipata hela hazikai

    Kuna DAS sijui RAS alikuwa anacheza kamari kupitiliza hadi waziri mkuu akamkanya laivu.
  2. Shin Lim

    Wazee nahisi kuna mtu amenicheza, nikipata hela hazikai

    Ukipata pesa mingi unakuta matumizi yamebadilika na kuwa makubwa sana na akili ya mtu mwingine kabisa, zinapokaribia kuisha akili inarudi pahala pake na unaanza kuishi kwa uhalisia unakuta hadi 10k unaitumia kwa siku. Mambo ya bea haya.
  3. Shin Lim

    Sababu ya watu kuogopa kutoa ushahidi kwenye baadhi ya matukio aliyo shuhudia live na wengine baadhi hukimbia kabisa

    Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje! Yaani hata ukitokea msala kazini ukabananishwa, wewe polisi sijui mpelelezi mpeleke bar mpe bia 3 na nyama. Hapo hapo anaanza kufunguka kwamba yule bosi kwenye idara yako...
  4. Shin Lim

    Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

    Don't think start drink
  5. Shin Lim

    Harufu ya manukato porini na nywele kusisimka ina maana gani?

    Nimea inayotoa harufu si mpaka iguswe! Mimi naijua mimea ambayo ukiigusa tu inatoa harufu chafu mavi yakasome. Ukiikuta pahala unajipitia zako taratibu tu.
  6. Shin Lim

    Harufu ya manukato porini na nywele kusisimka ina maana gani?

    Viazi sio kweli ila harufu ya ubwabwa mkavu hiyo nimekutana nayo sana kijijini porini. Tena kuna eneo nilikuwa nalijua palikuwa na makuni mazuri yamekauka, ukifika unaokota tu na kurudi nyumbani. Masharti yake nilipewaga kuwa katika hilo eneo pana nyoka na huyo nyoka inawezekana anakuona...
  7. Shin Lim

    Mbona kama tatizo la wateja katika benki kupata noti pungufu wanapotoa hela linaota mizizi?

    Ile kudondosha noti ni taaluma kama taaluma kama nyingine, mwenye hela huwezi kuona inapodondoka ila utashuhudia mashine imehesabu kiasi kamili ambacho wewe umeona, lakini ukicheki kiasi ulichopewa unakuta pungufu. Ni sawa na kuchezea karata tu ukizoea kuishi nazo.
  8. Shin Lim

    Sababu ya watu kuogopa kutoa ushahidi kwenye baadhi ya matukio aliyo shuhudia live na wengine baadhi hukimbia kabisa

    Ukitoa taarifa polisi ya labda muhalifu wa mtaani, na wao wanamfata mhalifu wanamwuliza unaishi vipi na wenzako mtaani! Maana ndio wametupa taarifa zako. Hapo ni baada ya kuchukua hela ya kiwi.
  9. Shin Lim

    Rais Ruto kashika Mwamvuli yeye mwenyewe lakini RC Chalamila kashikiwa mwamvuli na Mpambe!

    Huyo Ruto hanaga baya. Kuna picha nimewahi kuona hapa hapa JF kabeba brief case lake sawa na wengine bila mbwembwe za wale walinzi wanaoonekana hadi kuwa kero.
  10. Shin Lim

    Fanya biashara kisasa ukiwa na Lipa kwa Mpesa

    Nina lipa ya voda na airtel. Wakati wa kutoa; » Voda hukatwi ila masharti utoe mara moja kwa siku. Ila nimesikia kuna baadhi wameanza kukatwa. » Airtel wanakukata kiasi kidogo mara 1 kwa siku, ila mara ya 2 wanakata sawa na wengine. Unapolipia kutoka tigo kwenda voda makato ni makubwa sawa na...
  11. Shin Lim

    Safety and emergency settings in your phone

    Sumsung wako vizuri sana kwa huduma za emergency kama hivyo. Kuna nyingine wanayo unachagua kwamba ile power button ukipress mara 3 mfululizo inatuma msg kwenye contact uliyoseti wewe halafu inaambatanisha na location uliyopo. Hata kwenye setting za wenye mahitaji maalum kama wasioona na...
  12. Shin Lim

    Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

    Huwa nikifikiria niache bia namwachia nani! Labda tuache wote. Peponi kwenyewe kuna mito ya pombe. Fikiria kama ule mto msimbazi ule unakuwa safari ya baridi.
  13. Shin Lim

    Nitajuaje simu ninayotaka kununua ni ya mkopo?

    Ukitia laini mpya nyingine inatokea pop up SIMU HII NI YA MKOPO.
  14. Shin Lim

    TTCL kufanya maboresho ya mifumo

    Mini kilichonibakiza huu mtandao wa kihenga ni BUFEE tu
Back
Top Bottom