Recent content by Shin Lim

  1. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  2. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    yule aliyetaka kujiingiza kubeti kama amekutana na matokeo ya madrid na ya PSG, halafu aje akutane na Barcelona au Man U inakuwa ni dawa tosha na yenye nguvu ya kuacha kubeti. Ni sawa unajifunza kunywa pombe unaanza na ile sijui pingu ambayo kabla ya kunywa mama muuza anakufunga kamba humu...
  3. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio unajifunza kubeti au ni mgeni tu kwenye huu uzi lakini ni mzoefu? Kama ni mzoefu karibu sana ila kama ni mgeni mh!
  4. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sociedad na shoga mwenzake wanatumia kichwani
  5. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Inaendelea vizuri labda matokeo wachawi
  6. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania BOT pesa Chakavu huwa Wanazichoma moto Wajuzi tujuzeni?

    Huwa zinasagwa kabisa, nimewahi kwenda tulikiwa na mafunzo fulani zinasagwa haziwezi kutumika kabisa. Linakuwa kama bonge lenye vipande vidogo sana vya noti vilivyoshikana pamoja.
  7. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wiki iliyopita Wiki iliyopita nilimpa azam ashinde 1H, wao wakaniwekea win kabla mechi haijaisha, wakati geita wanasawazisha na kuwa 1-1 dakika ya 44 mimi washanilipa hela. Nikachanganya faida na mtaji fasta nikabetia 16,000 ikakubali. Nikajaribu kubeti 4000 nikaona washasawazisha na...
  8. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lawama hizi makampuni ya kubeti. Hapo alikuwa anaongoza Namungo wao wameweka anaongoza Singida. Ukiziotea hizi odds baadaye wanakuwekea madeni kwenye akaunti
  9. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizi odds za azam zinashawishi kwa 1HSimba na Yanga wamefanikiwa kishinda 1H, je na hawa wataweza! Tukutane baada ya dakika 45.
  10. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Win
  11. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  12. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tunaendelea tulipoishia jana mpaka mwindi akimbie na chupi na arudishe hela. Yangu, simba, Barcelona na arsenal wote win normal au win kubwa ya 1H kwa hizo za bongo
  13. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duh! Tunamshauri aache kubeti tena wewe unamletea WON. Ila kwa siku ya jana kama umeshindwa kula hela ya muhindi achana kabisa na maswala ya betting
  14. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kama umefanikiwa kukaa pembeni kwa muda mrefu ni heri usirudi tena. Kaa mbali na uzi maana hii kazi siyo kabisa. Wengine wanatamani kuacha hata kwa muda mfupi wanashindwa.
  15. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwanza ukishapanga kuweka hela kubwa na ipo kwenye akaunti kama sio mambo yako ndio palepale unaathirika kisaikolojia. Unatafuta mechi moja tu yenye odds angalau 1.4 lakini unakosa katika mamia ya mechi na kuangukia kwenye lost.
Back
Top Bottom