Recent content by Shin Lim

  1. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uingereza naweka Kapu moja na taifa stars, sitakuja niibetie.
  2. Shin Lim

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Wasengee sana kmmmk hapa niliwafata washed angalau second half lakini wamechemka
  3. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pengine Hawa watatupoza machungu ya wathenge taifa stars
  4. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Taifa stars peke yake naona kabisa second half hawakosi goli 2
  5. Shin Lim

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Mbona huyo mtoto kabisa. Nilishawahi kumla mwanamke nilijua kabisa amenizidi umri ila sio Kwa kiwango kile aisee. Alisahau NIDA Kwa bahati mbaya nilivyoona umri wake nilichoka! Akaja kunionesha Binti yake hapo ndiyo ikabidi nistafu Kwa hiari.
  6. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa odds kiduchu hapa pana goli. Nasubiria odds zifike 1.5
  7. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Katika kipindi hiki cha ukame Wa mechi tunaokoteza tu za live
  8. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tunadundiliza mtaji mechi za kueleweka hamna
  9. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu mrusi mpya mjini na ana tabia zote za kirusi yaani hatozi 10% ya serikali Maana anajua kabisa hii kazi ni ngumu inahitaji maombi na kutiwa moyo kwa neno la faraja sio kukatwa hata Kwa kidogo tunachopata. https://planbet.com/mobile?bf=3bba9b8acf184_13770172667
  10. Shin Lim

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukiwa na hela ndogo unabeti mpaka dakika ya 87 na mkeka unatiki, uwe na stake kunywa Sasa!sta
  11. Shin Lim

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Hiyo mzuri Sana hata Mimi ninayo na matumizi tunakaribiana kufanana. Timu 1 ya karatasi naweza kutumia miezi mitatu hata minne. Mwezi uliopita nilinunua L3210 Kwa 380,000 ila kuna mtu aliniambia nisingekuwa na haraka ningepata chini ya hapo.
  12. Shin Lim

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Nina Canon 2206 IR inapiga kazi mwaka Wa 6 huu sijaongeza wino wala marekebisho yoyote. Ila huwa siprint mara Kwa mara. Spidi ni kubwa kuliko Epson ila shida haitoi color. Ila kwa tulipofika naona kama inapitwa na wakati hivyo
  13. Shin Lim

    Mnatuambia tusioe wakati nyie mmo kwenye ndoa, mnamaanisha nini?

    Unapoingia kweenye ndoa uwe na moyo mgumu kwamba mke wako anaweza kulika any time kikubwa heshima IPO tu. Ujue wanandoa wanalika kweli huko ndani.
Back
Top Bottom