Recent content by Shin Lim

  1. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shekh: Una uhuru wa kumuingilia mkeo kwa staili yoyote

    Baaaaas, kuna nini tena, Kuna nini!
  2. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Clouds FM ya zamani ilikuwa na ratiba nzuri ambayo ilikuwa inakushawishi kusikilza kuanzia asubuhi hadi jioni

    Maisha yanabadilika Sana. Nikipiga hesabu Kwa mwaka huu dakika nilizosikiliza radio zote Kwa ujumla hazizidi 200. Huu mwezi toka uanze hazizidi dakika 5. Kipindi cha nyuma MTU unakuwa na hamu kabisa unawahi nyumbani ukasikikilize kipindi Fulani.
  3. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mnaotumia 1xbet payment method ya bank mnaiona maana mhudumu ananiambia ipo wakati mimi sioni. Kuna kipindi kampuni moja ya mrusi iliniwekea limit ya stake mimi tu.
  4. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

    Usihamie kwenye uraibu mwingine. Niliacha pombe nikahamia kutafuna wadada PEP zimeniokoa.
  5. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Natamani hata ningekufa leo !

    Iila watu Huwa wanapitia magumu Sana katika maisha. Ukiona hujawahi kupitia changamoto kubwa shukuru sana Mungu. Mtu Anapoima solution zote zimegoma akili inabadilika kabisa
  6. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Natamani hata ningekufa leo !

    Kabisa , Maana ilikuwa kitambo kidogo 1998 au 1997.
  7. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Natamani hata ningekufa leo !

    Ni stori ndefu, baba alifariki na maisha yaka-change Sana, kila siku ilikuwa ngumu sana.
  8. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Picha: Yuda Iskariote akiwa airport JKIA akitekeleza majukumu yake.

    Huyo maza wa pembeni mbona anazeeka haraka sana!
  9. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kumbe wanunuzi Wa odds wapo!
  10. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bikra ya kutengeneza na bikra original nitaitambua vipi?

    Artificial bikra Huwa panakuwa pagumu nje tu hapa. ukimwaga futa jingi la nazi haaaa ngoma inatereza tu na kutumbukia shimoni
  11. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia vipimo kisha nikaambiwa nilipie tena kupewa majibu katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi - Kibaha

    Hizo hospitali za serikali kuna muda yanatofautiana. Mimi nililala wiki moja, sasa katika moja ya matibabu yangu walitoa maji kwenye mapafu na majibu yake yalichelewa kutoka hadi nikakaa vizuri nikaanza kupumua mwenyewe. Wakanipa ruhusa ya kuondoka Ila nilitakiwa kurudi baada ya wiki 3 kwa ajili...
  12. Shin Lim

    JamiiForums Tanzania Hata kama ni umaskini lakini jamani tuwe na Ubinadamu

    Ni Yale Yale tu, ni Sawa na kufanya Kazi ya ualimu halafu mshahara ukamalizia kwenye pombe. Hapo tofauti Ni Uhuru tu, mmoja amepewa pombe mwingine amepewa pesa akachague mwenyewe.
  13. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah! Mkuu uliweka mia!
  14. Shin Lim

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MSAADA NIMEFUTA NAMBA YA SIMU LAKINI WHATSAPP IMEGOMA KUFUTIKA

Back
Top Bottom