Recent content by Shilla B Haonga

  1. S

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Ukawa msirudi bungeni acha walete Rasimu yao tunaisubiri Sent from my iPad using JamiiForums
  2. S

    Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

    Bunge la katiba hongererni kwa kuwajadiri Ukawa kwa ustarabu na mko nje ya hoja Watanzania wenye nia nzuri tunawasikiliza Sent from my iPad using JamiiForums
  3. S

    Muhidin Gurumo (aliyekuwa Msondo Ngoma) afariki dunia!

    R.I.P mzee wetu tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi Sent from my iPad using JamiiForums
  4. S

    Miaka 15 akiwa mbunge na miaka 9 akiwa rais,Kikwete hii ndiyo kazi aliyoifanya Chalinze

    Nilitegemea mgombea wa ubunge kupitia CCM angekuwa anajivunia mafanikio ya miundombinu ya barabara,maji,shule na umeme kutokana na CCM kuwepo kwa muda wote lakini cha kushangaza ndo kwanza anelezea namna atakavyo kabiliana na changamoto hizo kama ambavyo wengine waliotangulia walivyojinadimkwa...
  5. S

    Mkutano mkubwa wa CUF tar 26/03/2014 kudai nchi yao...

    Kulikoni bunge la katiba kuna nini mbona mnatupa mashaka nahuo mchakato tutafika kweli? Sent from my iPad using JamiiForums
  6. S

    Tanzia: Mkuu wa Mkoa wa Mara aanguka ghafla na kufariki dunia!

    Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi amina Sent from my iPad using JamiiForums
  7. S

    Nakubali serikali mbili, lakini ningependa ziwe Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar....

    Kama kuna mtu hata mmoja alifia Tanganyika kwa nn tuliobaki tusiwe na haki ya kuuliza ilipo? Sent from my iPad using JamiiForums
Back
Top Bottom