Recent content by SHILAWADU 22

  1. SHILAWADU 22

    Dar: Halima Mdee kulala Korokoroni Polisi hadi jumanne

    Ester bulaya ameshaa mpelekea chakula??
  2. SHILAWADU 22

    Peter Lijuakali ameliomba Bunge kuunda kamati teule kuchunguzwa kutekwa kwa Mo,kupigwa risasi Tundu Lissu,kupotea kwa Ben Saanane na tukio la Aquiline

    Dereva wa Lisu akirudi tutapata pakuanzia maana chadema walisema amepata shida kisaikolojia kwasasa nadhani keshaa pona arudi Sasa nchini
  3. SHILAWADU 22

    Kumbe Ben Saanane alipotea kwa sababu hii ya kuhoji ushindi wa fulani

    Kwani Ben sii bado anaonekana vijiweni maana Mbunge kubenea alitwambia amejificha
  4. SHILAWADU 22

    Mkurugenzi jiji la Arusha Alia na Mafisadi kuitafuna halmashauri

    Kuna kiongozi mkubwa wa serikali ndiye aliyenunua hilo eneo nainasemekana amejaribu kumomba mkurugenzi abadili msimamo imeshindikana na Jana ndiyo kawatengeneza wamama mtilie waendee kuandamana na kuwalipa ujira wa elfu kumi
  5. SHILAWADU 22

    Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

    Zitto mtakwaamini siku nchi ikishitakiwa maaana wewe na Lisu mlisemaga tutashitakiwa na akina Bariki Leo hii Magufuli na Prof. Kabudi wametuvusha kibabe Hilo tango pori la bandari hatutalila maana tushaa kujua
  6. SHILAWADU 22

    Serikali ifuate ushauri wa CHADEMA

    Mhhhhh Sasa siii mbowe atafunga duka lake Hilo
  7. SHILAWADU 22

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Kwa hiyo TBC NA CHANEL ZINGUNE ZILIKUWA HAZIRUSHI SIKU HIYO AU HAO WAZEE WALIKATA MITAMBI YAO
  8. SHILAWADU 22

    Zoezi la uandikishaji kauli hii ya Diwani Munisi inafikirisha

    Diwani wa kata ya Machame Magharibi Marti Munis ameshauri mwananchi ambaye hataenda kujiandikisha asipewe huduma kwenye mtaa na kitongoji chake Munis ameshauri daftari hilo kutoa huduma kama jina mtu halipo asipate huduma kwenye mtaa ama kijiji chake #NendaKajiandikishe https://t.co/Vm9QWH2hb5
  9. SHILAWADU 22

    Mbunge Ester Mmassi na DC Sabaya wafanya kweli Machame Magharibi wasema hata bila mbunge wao watasimama kuhakikisha Hai inaendelea

    Mbunge wa vitimaalum kundi la wasomi wa vyuo vikuu Ester Mmassi amewata wananchi wa MACHAME MAGHARIBI Kuendelea kuiunga mkono serikali ya CCM chini ya Dkt John Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na mzuri anazozifa za kuwaletea watanzania maendeleo mbunge Mmassi ameyasema hayo Leo kijiji Cha Nronga...
  10. SHILAWADU 22

    Watendaji wa kata wote nchini kwenda Ikulu Dar, Septemba 2

    CHADEMA choo kinawabana yaani watendaji kuitwa mnaona wivu mbona nyie Ile awamu ya nne mlikuwa mnapishana pale ikulu na Wahindi kila siku
  11. SHILAWADU 22

    Hoteli ya Golden Tulip yadaiwa kurudisha fedha za CHADEMA walizolipia ili kufanya kikao cha Kamati Kuu katika hoteli hiyo

    Hivi Kama ruzuku tuu meshindwa kuzitumia Ndiyo mnataka tuje tuwakabidhi BOT
  12. SHILAWADU 22

    Zitto adai ripoti ya TISS yaonyesha Rais Magufuli hawezi kushinda 2020

    Zitto amekuwa tiss nayeye siku hizi mpaka apate taarifaa Yao Magufuli Wala haitaji kampeni
Back
Top Bottom