Nimesimamishwa kaz 27/6/2016, sikuwepo kazini kwa siku 5 mfululizo,ni serikalini.nilikuwa na sababu za msingi lkn sikutakiwa kueleza popote,tokea tar hiyo sijapokea salary, kila nikiuliza wanasema nisubiri hadi watakapo kaa na kujadili barua yangu ya utetezi,NI miez 15 sasa tokea nisimamishwe...
Salam,
Nauza gari, ni SPACIO OLD MODEL
CC 1580.Engine ni 4A, inatumia Petrol
T415 BHH
Gari ipo katika hali nzuri kabisa, bei ni MILIONI TANO TU.(Mazungumzo yapo)
Kwa mawasiliano 0768208713
KARIBUNI`
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.