Ingekua ziara ya kushtukiza waandisshi was habari walindamana nae vipi /walijuaje au walifika baada ya muheshimiwa kwa kupigiwa sm na washkaji..TUSITANIANE
Viongozi wengi wa upinzani huingia madarakani kwa dhamira ya kukomoa kubishana na kuhiniana kiasi kwamba nafsi zao wamzijaza kibri wasichosifa hivyo hupandia mambo kuonesha kuwa wapo hata pasipohitajika siasa sio kujivika majoho ya utukuzwa Bali kusaidia kupanga taratibu zilizopotoshwa
Nadhani hao madiwani hawajui maana ya mkuu was wilaya lkn siamini kama panahitajika semina elekekezi hao wanaviashiria vibaya vya kuipinga kauli mbiu ya "hapa kazi tu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.