Binadamu yeyote mwenye akili timamu huwezi kutukana marehemu ntarahamwe pekee na warabu kwa sheria za uislamu na mwizi ndo watu huwa wanajilizisha kupiga maiti na mwingine ameongezeka kwenye hili kundi la kutukana marehemu R.I.P tundu
Kwani kuwa m/kiti wa bunge la katiba unakuwa huruhusiwi kufanya mambo mengine ebu twambieni nyie hiyo ni kanuni ya ngapi maake hata kusali mtamzuia naamini mnatumika m----------- basi tafuteni vitu vya msingi ili muonekane hizo Pesa mlizolipwa mumezifanyia Kazi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.