Watu wote wanatakiwa kujua Tanzania inataka mabadiliko kwani hakuna taasisi yeyote ndani ya nchi inayotenda zaidi ni kuamrishwa na kupewa maelekezo au maagizo ya kufanya toka ngazi za juu, sasa kama vitengo kama Takukuru, haki za binadamu, mahakama, polisi hawawezi kutenda kwa utendaji wao...
Hii bank nadhani ni ya watoto wa vigogo au wafanyakazi wote wana hisa kwani wana madharau na wanahudumia kama hawataki utadhani hawalipwi, sijui hata uongozi wao hawaoni ili wawasaidie wateja wao?
Kwakweli mtandao mkubwa kama Vodacom inasikitisha na kuaibisha pale inapoweka swala usanii ndani ufanisi wao wa kazi, nikianza na dk za cheka kuna usanii mtupu unaoendelea hapo ndani mpaka uwizi wa dk, mbili mkijua mnahitaji wateja wengi boresheni huduma zenu yaani network kwani hapo kuna kero...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.