Recent content by shige2

  1. S

    JamiiForums Tanzania Suala la Kofia mbili laibuka tena CCM

    Sioni tatizo maana hata huko Afrika Kusini. Rais si Mwenyekiti wa chama. Na akiharibu mambo huwajibishwa na chama chake cha ANC.
  2. S

    JamiiForums Tanzania The Unintended Side Effects of Sanctions on Russia in all over the world

    Thank you Meneja wa Makampuni.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Naiomba Serikali iondoe tozo zote katika mafuta ili bidhaa isipande zaidi ya hapa

    Mishahara ya wafanya kazi na maendeleo ya nchi zikiwemo barabara za huko kwenu hela itatoka wapi?
  4. S

    JamiiForums Tanzania The Unintended Side Effects of Sanctions on Russia in all over the world

    Yes the world is in a quagmire, however it is much better to bear economic hardships, spiraling prices and high cost of living, than letting this fascist Putin on the loose altering other sovereign states borders in order to appease his ego. "SLAVA UKRAINA"/
  5. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

    Katika hili la safari za kwenda nyumbani kwao sioni tatizo. Hata ikiwa ata commute/Kwenda na kurudi Ikulu kila siku. Maana ni nyumbani. Tatizo tu ni kuwa asipendelee sana kwao hasa katika mgao wa hela ya Maendeleo. Igawiwe kwa HAKI. Maana mwisho wa siku ni sisi Tz Bara ndo tutalipa MIKOPO...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ameonesha udhaifu mkubwa; sasa itaonekana kesi dhidi wapinzani zina mkono wa Serikali

    Kunapokuwa na mabaya tukosoe. Palipo mazuri tuunge mkono. SSH ktk hili amefanya jambo jema. Alirithi nchi ikiwa imegawanyika. Hata nawe na uzi wako huu pia furahi palipo na mazuri. Na kosoa palipo na kasoro. Na hiyo ndo Demokrasia.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM wamechukizwa na kitendo cha Lissu na Samia kukutana?

    Amewakosesha mtaji.(Political capital). Mgawanyiko huu wa kivyama, kwa baadhi yao ulikuwa ndo mtaji wao mkubwa wa kuzunguka nao. Kwa hivo si ajabu wala mshangao kuona baadhi yao wakikasirika!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Did President Samia really have a choice?

    Thank you Janjaweed. Typographical error. I meant "Career"🙏
  9. S

    JamiiForums Tanzania Did President Samia really have a choice?

    Just to add on my previous post. SSH should be bold enough to deal with dissent within her CCM party I believe some aren't happy. Reason being, some had made the existed schism as a good political capital to thrive on. As SSH changes the political trajectory, those who made a political career...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Did President Samia really have a choice?

    If what is being reported is to go by, meaning all what happened was done in good faith devoid of EU duress then this could herald a good start on national healing. However we should take this circumspectly waiting for the outcome or rather positive results of the talk from SSH which would...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

    Tunafurahia kuona kuwa Magaidi wameondolewa huko kwa combined forces za SADC na SI nchi moja kama tunavyolazimishwa kukubali.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

    Of course, equipped by proxy sponsors.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

    Let's agree to disagree. It was a nice discourse though! 🙏
  14. S

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

    I have given you the facts but you are still adamant on defending Rwanda. What military capability does Rwanda posess? Since you are a Rwandan apologist tell your friend that he should never over rate himself that much. He is yet to be tasted for really battles. The ones he claimed credit in...
Back
Top Bottom