Recent content by Shigala

  1. S

    Wiki ya mwisho ya kampeni: Magufuli na CCM wanafanya makosa ya kiufundi

    Wewe mbona mjinga CCM wanajuwa wanachofanya na jiandae kulia na kusaga meno wakati Ndugu magufuli akiapiswa na jamaa yako anaenda kuchungu ngombe
  2. S

    Mimi tarehe 25 ni CCM

    Yaani nimefurahi sana jamani hata mimi na familia yangu ni CCM siwezi kuuzwa na watu wezi kama Mbowe na juhaa mwenzake
  3. S

    Mafuriko ya CCM Star TV Moshi ni fake

    Sikumpenda Lowassa akiwa CCM na nitaendelea kutompenda Lowassa out of CCM. Nampenda Magufuli kwa moyo wangu wote na sitapungukiwa na chochote kwa hilo. Siwezi kumpenda mwezi na mdini
  4. S

    Mafuriko ya CCM Star TV Moshi ni fake

    Sikumpenda Lowassa akiwa CCM na nitaendelea kutompenda Lowassa out of CCM. Nampenda Magufuli kwa moyo wangu wote na sitapungukiwa na chochote kwa hilo. Siwezi kumpenda mwezi na mdini
  5. S

    Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

    Wanaoshabikia Lowassa ni Wachaga wenye chuki na Wajinga ambao hajuwi kumsoma mtu tapeli.
  6. S

    Magufuli ni bingwa wa kukariri na sio kufikiri wazo jipya

    Mtu mweusi ni mfano wa Nyani sasa nimekubali unajua tunahitaji mtu mwenye nia ya kulikomboa taifa letu kimaendeleo na sio lugha yake. Wachina hajuwi Kiingereza lakini wanamaendeleo. Unafiki wa mtu mweusi na ushabiki bila kuwa na tafiti sahihi ndiyo iliyotufikia hapa tulipo. Mimi nasema bila...
  7. S

    Tume ya uchaguzi NEC imeuza taarifa za wapiga kura kwa mgombea wa CCM!

    Mimi nafikiri kama kupasuaka na iwe, maana kuna kabila hapa Tanzania limetafuta nafasi ya Urais kwa muda mlefu sana na hajapata sasa ni muda wao kujitawal kwenye mkoa wao, bye-bye
  8. S

    Sababu za kutokumchagua Magufuli

    Kazikazini at work, hata useme nini Dr. Magufuli ndiye Rais wetu. Hatuwezi kuchagua mtu mwezi
  9. S

    Nakasirika kijana chini ya miaka 45 kushabikia CCM

    Hakuna mtu dunia ninayemchukua kama Lowassa asije akatufanya sisi kama wajinga.
  10. S

    Wajanja waanza kushuka kimyakimya bus la CCM

    CCM imechokwa na watanzania, lakini tunakosa pa kwenda maana hawa ukawa ni hatari sana bora CCM, kwanza ni wote wapiga dili na wakabila.
  11. S

    Sentensi 11 zilizotolewa na Freeman Mbowe kwenye Baraza la Idd

    Safi sana mtaka yote hukosa yote, jamaa ni mjanja kwelikweli. Hata hivyo miafrica ndivyo yalivyo.
  12. S

    Magufuli anayajua maisha ya Mtanzania wa chini

    Kura yangu ni yako to Dr.
  13. S

    Rais Kikwete azungumzia kauli za Magufuli kuikosoa Serikali

    tutasikia mengi mwaka huu
Back
Top Bottom