Tena usinikumbushe ndugu, hakuna ofisi yenye rushwa kama uhamiaji. Hata ukamilishe taratibu zote bila kutoa rushwa utasubiri passport miezi ya kutosha tena muda wote huo wanakutegeshea wanajua utaenda kuulizia na ukifatilia ofisini kwao ndiyo wanakushawishi utoe kidogo ili uipate mapema. Na...
Habari zenu wakuu, kama title ilivyo hapo juu nimejichanga ili nifungue duka/goli la nguo kariakoo. Mtaji wangu ni 15m (huenda kwa kkoo ni ndogo lakini nimeona niende hukohuko angalau kwa siku watapita wateja wawili watatu kuliko kuanzia huku mtaani ambako naona biashara ni ngumu sana)...
Mtafute 0657 862030 jamaa gharama zake ni poa atakupa maelezo yote na mlolongo mzima tangu unaagiza mpaka kupata mzigo wako, pia ni mzoefu wa hizo kazi.
Aisee kuwa mstaarabu, ni uchafu huohuo umeshiriki kukuumba, kukuhifadhi,kukuleta duniani na bado unauhangaikia sana ndiyo maana umenyimwa huko unakuja kutoa povu huku. Tafuta pesa ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.