Mbowe aache mipasho Kama anawajua wasaliti si awataje hadharani? Yaani hizi siasa za majungu zimepitwa na wakati, yeye ni Mwenyekiti basi awataje hadharani kuonesha demokrasia!
Sie tunajua unayemsema na kwanini umeyasema hayo na uliyemsema anajua unamsema nani! Na alijua mapema utanena...
Tutayaona mengi sana mwaka huu tuombe uzima tu. Mwaka huu wasiposambaratika hawa basi bahati Yao. Ugomvi umeanza kwa Mwenyekiti wa AR na bado mikoa kibao kutoa tamko kumuunga mkono Mwigamba.
Ukweli unajulikana sasa hata mukimfukuza tayari umma umeshajua! Hakuna demokrasia ndani ya CDM...
dogooo! Kumbuka, when one door closed, many more are opened.....mlango wa demokrasia ndani ya chama umefungwa, as per mwigamba, a regional party chairman, cheo ambacho ww hutakaa ukipate..utamdharau kwa sababu hujui role and function za hiyo nafasi... So many doors are opened, one of them ni hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.