Recent content by Shekidee

  1. S

    Edward Lowassa: Mwanasiasa, mchapakazi, mfanyabiashara anayetabasamu!

    Hahahaaaaaa one in a million, mwambie huyo!
  2. S

    Edward Lowassa: Mwanasiasa, mchapakazi, mfanyabiashara anayetabasamu!

    Njia ya muongo fupi saana, dont trust a liar even when he says the truth..ahsante mwanadiwani.
  3. S

    Edward Lowassa apanga kutangaza nia Urais akiwa Arusha

    Ulitaka ang'ang'anie kuingia kwako?!!
  4. S

    Edward Lowassa apanga kutangaza nia Urais akiwa Arusha

    Tatizo liko wapi, kwanza umepata wapi hizo habari..tutolee unafiki hapa kama huna la kupost tulia.
  5. S

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    Ukishajipanga njoo tenaa, hujui unataka kuzungumzia nini.
  6. S

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Eeh hawahusiani na siasa tena, mbona unakimbia mpaka unapitiliza kwenu mama..so wakifanyacho ni biashara?!!
  7. S

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Swali langu, wanatoa wapi pesaa ya kufanya vikao mikoa sita siku moja..inaonekana unawajua saaanaaa okello,nijibu
  8. S

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Unamaanisha lowassa kamwaga hela katika hili nalo??!
  9. S

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Kwa kile wanachokiita semina huku kikitafsiriwa na wanasiasa kuwa ni kampeni za wazi za ndugu Lowassa, vijana wake wameenda mbali zaidi na kuamua kusambaa mikoani kumtangaza mgombea wao. Mara baada ya kikao cha mwisho kilichofanyika Dar katika ukumbi wa Karimjee, 4u movement chini ya bw Hemedy...
  10. S

    Opportunist Mrisho Mpoto

    Kwelii kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. YAani huyu jamaa alivyokuwa anatoka nilimheshimu na nilikuwa namkubali saanaa. Heshima yangu ilianza kupotea kwake baada kuanza kutumika na serikali ili kumpunguza makali. SAsa amejidharaulisha wazi kwa jamii kwa kujionyesha mchumia tumbo...
  11. S

    Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

    Pole ndio rais wako ajaye, utazisikia mpaka miaka kumi iishe..i pit you.
  12. S

    Kamati kuu ya CCM kumuongezea adhabu Lowassa ya miezi 12, jumatatu 19 Jan 15.

    Baada ya mpango wa kumjaribu kumfuta uanachama na kumfukuza katika chama cha mapinduzi aliyekuwa waziri mkuu mhe Edward lowassa kufeli, hatimaye Mangula, Nape na Kinana wapanga kumuongezea adhabu ya miezi kumi na mbili ili kupoteza ndoto yake ya kugombea urais wa Tanzania hapo october mwaka huu...
  13. S

    Dar Airport among worst in Africa

    Tanzania,A promised land.
Back
Top Bottom