Kwa kile wanachokiita semina huku kikitafsiriwa na wanasiasa kuwa ni kampeni za wazi za ndugu Lowassa, vijana wake wameenda mbali zaidi na kuamua kusambaa mikoani kumtangaza mgombea wao.
Mara baada ya kikao cha mwisho kilichofanyika Dar katika ukumbi wa Karimjee, 4u movement chini ya bw Hemedy...
Kwelii kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.
YAani huyu jamaa alivyokuwa anatoka nilimheshimu na nilikuwa namkubali saanaa.
Heshima yangu ilianza kupotea kwake baada kuanza kutumika na serikali ili kumpunguza makali.
SAsa amejidharaulisha wazi kwa jamii kwa kujionyesha mchumia tumbo...
Baada ya mpango wa kumjaribu kumfuta uanachama na kumfukuza katika chama cha mapinduzi aliyekuwa waziri mkuu mhe Edward lowassa kufeli, hatimaye Mangula, Nape na Kinana wapanga kumuongezea adhabu ya miezi kumi na mbili ili kupoteza ndoto yake ya kugombea urais wa Tanzania hapo october mwaka huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.