Recent content by shekhe89

  1. shekhe89

    Kuundwa jukwaa la wahitimu wa degree na diploma nchini

    wazo zuri sana, naomba uniadd 0655663820 from Zanzibar
  2. shekhe89

    Natafuta Internship nina Shahada ya Financial Admnistration in Accounting

    ni kweli usemayo na tunafanya hivyo. ila tutajiajiri vipi na hatuna mtaji? na isitoshe serikali hata haimtambui wala kuthamini watu wenye vipaji. na sababu ya kuweka huu uzi hapa ni kwakuwa humu muna watu wenye mawazo, fikra na nafasi mbali mbali katika jamii, watu hao ambao wapo tayari...
  3. shekhe89

    Natafuta Internship nina Shahada ya Financial Admnistration in Accounting

    mimi nipo zanzibar, ila hiyo internship hata ikiwa Dar basi haina tatizo
  4. shekhe89

    Natafuta Internship nina Shahada ya Financial Admnistration in Accounting

    Habari zenu wakuu. Mimi ni kijana, nimemaliza ngazi ya degree ya kwanza katika fani ya usimamizi wa fedha (financial admnistration in accounting), naomba msaada wa intership ili kupata experience kwa kipindi hiki. Nina uwezo wa kutumia application kama vile Quick book na ERP, pia nina ujuzi wa...
  5. shekhe89

    Huu si utapeli lakini?

    halafua hawana hata website
  6. shekhe89

    Huu si utapeli lakini?

    naomba msaada kwa anaeitambua hii REGISTRATION CRITERIA:1. ALL APPLICANTS ARE REQUIRED TO REGISTER WITH TSHS. 16,500/= ONLY - this amount should be sent to AIRTEL MONEY ACCOUNT NO: +255 783749091(RIFA CONSULTANT LTD ) BEFORE OR ON FRIDAY 09/09//2016 by 7:00 P.M- ( SAA MOJA JIONI )
  7. shekhe89

    Njia rahisi 8 za kupata ajira popote ukiwa umemaliza chuo hizi hapa

    Nice brooo, yaani imeibua hisia zangu upya na matumaini ya kupata ajira. Asante sana broo, we understnd you and we are waiting fo the next episode
  8. shekhe89

    Nauza laptop Dell Inspiron N4030

    bado ipo? nitafute kwa via whtsp 0772993820 or call via 0655663820
  9. shekhe89

    Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

    mbna mgawanyo wa picha aloweka kiparamoto unaonesha tofauti, yaani km umezidi 7500!!!?
  10. shekhe89

    Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

    je kutokana na mgao huo, kweli meals imeengezeka? maana nakumbuka ilikuwa ni 7500/day na tuliambiwa itafika hadi 8500/day katika kuanzia huu.
  11. shekhe89

    Msaada; nafasi hii ya kazi

    wizi huo, kimbieni fastaaaaa
  12. shekhe89

    Mada Maalum kwa Wahasibu, Wakaguzi wa Mahesabu na Wataalam wa Kodi

    I have Advanced diploma in Financial Administration - Accounting
  13. shekhe89

    msaada kwa anaeifahamu YETU microfinance

    mkuu hapana maelezeo kwmba nimeshndwa kutafta info kwa website hapo. soma vizuri tafadhali but any way thx
  14. shekhe89

    msaada kwa anaeifahamu YETU microfinance

    hapo je mkuu coy means company
Back
Top Bottom