Tatizo sio waendesha boda tu hata wenye magari nao wanafanya makosa Tena makubwa tu.Ila wao siku zote ni wasomi Tena mno hasa linapotokea swala la ajali pili ni ni trafiki hasa wale wanaoongoza badala ya taa niliwahi kusimama upande wa taa ambao hautoki magari mengi bahati mbaya siku hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.