Kuna iliyokuwa East Africa shipping line,vile vile kuna captain wa meli alitorosha meli hiyo iliyokuwa nje ya Tanzania na kuileta Tanzania, nao afikiriwe kutunzwa.
Awamu zilizopita zote tulikuwa tunasemaga washauri wa Rais siyo wazuri..Mimi nadhani ifike pahala mzigo wa lawama aubebe mwenyewe Rais,maana hata katiba yetu inatoa mwanya kwa Rais kutoshaurika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.