Recent content by sheburu

  1. S

    Arusha: Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya watunishiana misuli

    Unit, not unity Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Yahusu kuchanjiwa muku

    Duu umeua [emoji12] [emoji12]
  3. S

    Uzalendo: Leo ni siku ya furaha sana kwa Capt Peter Mapunda, atasafiri bure kwa ATCL maisha yake yote

    Hata hiyo ya Mapunda ilibaki story ya kijiweni, hadi mkuu alipomtambua.
  4. S

    Uzalendo: Leo ni siku ya furaha sana kwa Capt Peter Mapunda, atasafiri bure kwa ATCL maisha yake yote

    Story nilizisikia zamani mkuu, kutoka kwa wazee.Sikuambiwa jina.
  5. S

    Uzalendo: Leo ni siku ya furaha sana kwa Capt Peter Mapunda, atasafiri bure kwa ATCL maisha yake yote

    Kuna iliyokuwa East Africa shipping line,vile vile kuna captain wa meli alitorosha meli hiyo iliyokuwa nje ya Tanzania na kuileta Tanzania, nao afikiriwe kutunzwa.
  6. S

    Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

    Tutarajie madudu zaidi kutoka kwa polisi wetu ..Kimsingi polisi hatakiwi kuua, hata jambazi unless jambazi aamue mapambano ya silaha.
  7. S

    Waziri Mahiga kuwajibu Umoja wa Ulaya na Marekani

    Awamu zilizopita zote tulikuwa tunasemaga washauri wa Rais siyo wazuri..Mimi nadhani ifike pahala mzigo wa lawama aubebe mwenyewe Rais,maana hata katiba yetu inatoa mwanya kwa Rais kutoshaurika.
  8. S

    Chahali usipotoshe, Dkt. Kipilimba hajawahi kuwa chaguo la Membe kwa Magufuli

    Kweli mkuu ,hawa bado washkaji tuu..I
  9. S

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    Mkuu ukiona mtu analalama kuwa ume..m block ujue bado anakuhitaji...[emoji12]
  10. S

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    2020 mkuu, typing error..
  11. S

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    2020,huyu mzee anarudi nyumbani wallah ..
  12. S

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    Hata leo kwenye ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu, kamfagilia sana,huyu mzee 2000,anarudi nyumbani wallah!!
Back
Top Bottom