Kipi ujaelewa mkuu kaa usome vizuri idadi kubwa ya wanaostahili kupanda wamekuta mambo tofauti sasa hapo ujaelewa kipi au we ndo mchengelwa nini unajibu thread kiaina
Waziri Mchengelwa una yapi ya kuwaambia watumishi baada ya kuwaaminisha kuwa wote wanaostahili kupanda madaraja watapandishwa na watalipwa kuanzia mwezi huu na umewaacha hewani huku idadi kubwa awaoni badiliko lolote.
Walio karibu na waziri nisaidieni kumfikishia hii
Utaajiri bila bajeti mkuu achana na wanasiasa wanaongea kutafuta kupendwa ila kwa ground mambo tofauti serikali aijatenga bajeti utaajiri alafu uwalipe nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.