Habari wanajamii Leo nimepigiwa simu ya kuitwa kwenye usaili wa nafasi ya Mail room pale US embassy hivyo naomba mwenye ushauri au uelewa wa maswali yanayoulizwa anijuze tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.