Natumaini wote ni wazima humu ndani.
Nina tatizo hivyo nahitaji kumuona mtaalamu wa mambo ya saikolojia au kuunganishwa na mwanasaikolojia yeyote ila nikimpata aliyopo mbeya nitafurahi zaidi.
Nawatakieni usiku mwema
Naombeni ushauri namna ya kuepukana na hili tatizo,
Mume wangu alipata ajali na kufariki mwanzoni mwa mwaka huu huku akiniacha nikiwa na ujauzito wa miezi miwili, tangu kitokee kifo cha mume wangu nimekuwa na msongo wa mawazo, nimekuwa nikikosa usingizi muda mwingi usiku nakuwa macho, muda wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.