Recent content by shavada

  1. S

    Natamani kuolewa

    Mbali ni wapi?
  2. S

    Msaada, natafuta mtaalamu wa saikolojia

    Naomba namba yako ili tuwasiliane
  3. S

    Msaada, natafuta mtaalamu wa saikolojia

    Heshima ni kitu cha bure, fungua Uzi wako uongee hizo habari za Dr. Shika
  4. S

    Msaada, natafuta mtaalamu wa saikolojia

    Nimeshindwa kuliweka hapa tatizo nililonalo naombeni tu nisaidiwe kumpata huyo mtaalamu
  5. S

    Msaada, natafuta mtaalamu wa saikolojia

    Natumaini wote ni wazima humu ndani. Nina tatizo hivyo nahitaji kumuona mtaalamu wa mambo ya saikolojia au kuunganishwa na mwanasaikolojia yeyote ila nikimpata aliyopo mbeya nitafurahi zaidi. Nawatakieni usiku mwema
  6. S

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Hapo na mimi ni singo mother lakini huu Uzi umenichekesha sana, sijui mtoa mada umefikiria nini kutunga uongo kama huu
  7. S

    Naombeni ushauri, namna ya kumsahau mume wangu aliyefariki

    Nawashukuru sana wote mlionishauri na watakaoenelea kunishauri ushauri wote nitaufanyia kazi
  8. S

    Naombeni ushauri, namna ya kumsahau mume wangu aliyefariki

    Naombeni ushauri namna ya kuepukana na hili tatizo, Mume wangu alipata ajali na kufariki mwanzoni mwa mwaka huu huku akiniacha nikiwa na ujauzito wa miezi miwili, tangu kitokee kifo cha mume wangu nimekuwa na msongo wa mawazo, nimekuwa nikikosa usingizi muda mwingi usiku nakuwa macho, muda wote...
  9. S

    Madhara kwa mjamzito kutosex je kutamfanya njia kutofunguka?

    Sio kweli kabisa, mfano ni Mimi Mme Wangu alifariki nikiwa na mimba ya miezi miwili na nimejifungua salama
Back
Top Bottom