Recent content by Shata

  1. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Ebana naona vitabu vingi sasa hivi wameviweka kibiashara zaidi mpaka ununue online ndio uweze kuvidownload usome...kipindi cha nyuma haikuwa hivi, tulijisomea vizuri tu bila kulipia but now it's business
  2. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Bado najaribu kuchimbua sehemu mbalimbali kwny mtandao ila bado sijapata nikiinisa tu ntaweka link hapa
  3. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Mi mwenyewe nilikuwa kama nyinyi baada ya kusoma huu uzi ulinishika sana so nikawa ni miongoni mwa waliokuwa wanasubiri mwendelezo..basi ikawa ni kila siku tunamtag kuulizia mwendelezo lakini jamaa alikuwa kimya, tukazama PM lakini jamaa kimya ndio mpaka leo, lakini mm sikukata tamaa nikaendelea...
  4. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Ngoja nikachambue mafile najua ntaipata tu then ntakupa link
  5. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Ndio
  6. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Kuna mtu alishaandika hapa kuwa hii dunia ni kama jela yani tupo kifungoni that's why wazee wa flat earth's wanasema kuna firnament ambayo no one can get outside world..naomba tujitaidi kusoma jamani
  7. Shata

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Huyu jamaa hawezi kuiendeleza hii maada coz ameicopy toka sehemu na alipoishia ndio hata kule ilipoishia nishaona sehemu kipindi nasoma sana so naona wengi mnaomba mwendelezo ambao yeye hawezi kuendeleza coz alicopy the whole story so hapo ndio mwisho wa kucopy coz story haikuendelea zaidi cha...
  8. Shata

    Vitu visivyo na Mwanzo wala Mwisho

    Motoni ni wapi??
  9. Shata

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Especially hapo kwenye mtu wa kwanza kunitembelea dunia na elimu aliyokuwa nayo kabla ya kufika duniani
  10. Shata

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Mkuu ningependa kuongeza maarifa kidogo juu ya mtu huyu unaweza kunitumia link au jina la kitabu nikasome niongeze uelewa?
  11. Shata

    Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

    Toa jibu kwanza then na mm ntakujibu.
  12. Shata

    Golds zinaendaga wapi au ziko wapi?

    Mkuu pentagon waliconfirm kupitia nini uko na link uweke hapa na sie tuone
  13. Shata

    Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

    Na wewe kwa nini huamini??
  14. Shata

    Lengo la sisi kuwa hapa duniani ni nini?

    [emoji28][emoji28][emoji28] Sent from my VKY-L29 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom