Recent content by shashi kubini

  1. S

    RE THINKING: Kitu gani tunakikosa kwa Wapinzani na Chama Tawala?

    Ni kweli wa Tz tumekuwa wavivu wa kufikiri na kuchambua mambo tumewaachia viongozi waamue wao wenyewe fikiria shangazi yangu Mkulima wa Ntuzu ugumu wa maisha aliyonayo je ana nn cha kuchangia au kutoa mawazo sahihi yenye kuchenga eeh Mungu ibariki Afrika
  2. S

    Sababu 10 za CCM kuendelea kuongoza Tanzania

    Yup!kijana unauelewa jjnsi watanzania walivyo endelea kutu habarisha bravo!
  3. S

    CAF Champions League

    Amefungwa ngapi funguka broo
  4. S

    Mtikila: Hakuna mtu jasiri nchi hii zaidi yangu!

    Semeni yoote kura ya siri itatufikisha tunapotaka kwenda
  5. S

    Ikulu yamgomea Nyalandu uteuzi wa mkurugenzi wa wanyamapori

    Hivi matrafiki wa nchi hii wamekuwa wahasibu barabarani? kila ukimuona ana kitabu cha Notification maana yake nn
Back
Top Bottom