Hapan Ile ilikuwa ya kwanzaaa ndo maan uliangalia bado wanaleta open status1 na Iko ndani ya wale wanafunzi efl 20 ndo maan bodi haijatoa update zozote baada ya hapo
Hata Mimi niliapply mwenyew nahakuna mtu mwenye details zangu lakini nshapogiwa simu na vyuo ambavyo hata sikuomba taarifa sijui Huwa wanazichukua wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.