Maneno aliyotumia sio mazuri kiukweli, tukiweka politics aside. Ila kwakuwa kaomba radhi, yapasa kusamehe na kusonga mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miezi kadhaa sasa imepita tangu Rais wa Uganda Yoweri museveni na Rais wa Tanzania John Magufuli kusain makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta katika nchi hizi mbili.
Swali ni je, ujenzi utaanza lini? maana tuliambiwa kuna ajira zaid ya elf 10 na vijana wengi wamekaa mkao wa kula kusubir...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.