Recent content by shaqoor-hussein

  1. S

    rita death certificate attachment

    Habari za muda huu wakuu, Ninaomba msaada juu ya jinsi ya kuandika: Muhtasari wa kikao cha familia ulioshirikisha wanandugu wasiopungua saba pamoja na nakala za vitambulisho vyao. Kiapo cha mahakama. Muhtasari wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Kata ikithibitisha kutokea kwa kifo. Naombeni...
  2. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Ww n nan mpak useme hivy unaijua brain capacity yang au ulikuwa specialist wang acha kuongea vitu ambavyo avip
  3. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Ww n nan mpak ukatishe ndoto zang au unipangie unachokitak ww mm nikifanye shame upon you
  4. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Duuh mm sio kuwa nataka bure ila hata kama unavitu ambavyo ww unajua mm sijui lkn kuna vingin mm najua ww hujui so tunahitaj kusaidian
  5. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Mmmh mkuu kwan kumsaidia mtu mpaka malipo
  6. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    I mean mm cjui kabisa kuhuc java na umuhim wak na activity zak
  7. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Nataka niitengenez application games na vingin ving so nahitaj kujifunza kuhus programming
  8. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Nilikuwa nahitaj kuanza kujifunza kupitia kwa wenzang coz kuna vitu nataka niitengenez lkn vinahitaj elimu na pia kuna vitu kama java,programming natak nijifunze kupitia humu
  9. S

    Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

    Wakuu mm nmeapply chuo kwenda kusomea computing and communication technology so nahitaj msaada wa kuiyelewa it nahitaj kujifunza ndan ya hii app ya jamii forum ilinikifik chuo niwe na jielewa wa kutosha msaada juu ya hili wakuu
  10. S

    Mwaka huu nataka nihamie iPhone, nasubiri iPhone 12. Je, nitakosa nini cha Android?

    Hiyo multiple user inakuaje mkuu nahitaj msaada wa kuelewa
Back
Top Bottom