Recent content by shani12

  1. S

    Mrema atoa siku saba kwa Paul Makonda kujieleza

    Utakuta familia imeshahangaika mpk wazee wengine umri ukimtupa ni wakorofi haswa,humwambi chochote zaidi anachotaka yeye.
  2. S

    Nilichokikuta baada ya kupekua chumbani kwa dada wa kazi

    Mwambie wife unasikia hali ya hewa hapa ndani sio nzuri kama kunakaharufu fulani hivi,embu nenda kaangalie huko ndani kwa dada kama pako sawa,angalia huko chini ya mvungu hata godoro nyanyua ndio nahizo soksi ataziona na vitu vingine,tena ukiona hachukuli serious mnyanyue nakumwambia ebu twende...
  3. S

    Kura yangu ishaharibika

    Sana mkuu kama watu wenyewe ndio hawa wanaenda kupiga kura kimzaha kuwaongoza ni shughuli,kazi ipo kwa viongozi wetu
  4. S

    Hotuba ya Kikwete imeharibu kabisa ufungaji wa kampeni za Magufuli

    Mmezidi kilalamika sana wanachi kila analofanya rais wenu si jema,mnasifia vya nje tu angeongea paul kagame wa rwanda msinge lalamika,mngeona ameongea point,tumeshafanya maamuzi kesho ni magufuli tu mmezidi na propaganda
  5. S

    Magufuli rudi tena Mbeya hali si shwari

    Mmmm huyo edo aliongea nini huko mbeya au ndio walewale bendera fwata upepo,team magufuli tunaona ni ushabiki maandazi
  6. S

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Weka siasa pembeni kwenye mambo mazito wewe unaesema mabadiliko yasipofanyika
  7. S

    TANZIA Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda amefariki dunia

    Ni kweli hata clouds wametangaza!RIP abdallah kigoda
  8. S

    Bundi ametua rasmi Mtaa wa Lumumba usiku huu

    Ukawa hawabebi watu na magari
Back
Top Bottom