Recent content by shandaraiz

  1. shandaraiz

    Rais Magufuli: Wastaafu wengine hawachoki kusema, wanawashwa washwa

    Maongezi ya huyu baba huwa hayana busara Sent using Jamii Forums mobile app
  2. shandaraiz

    Kwa hili la Lissu Kupelekwa Kenya ni Aibu kwa Tanzania

    Hakuna ulichoandika hapo zaidi ya UJINGA Sent using Jamii Forums mobile app
  3. shandaraiz

    Utaratibu wa kufuata ili kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mazungumzo binafsi

    Tuambie kwanza unachotaka kwenda kumshauri sent from servant of God
  4. shandaraiz

    Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

    Halafu hatutarudià tena uchaguzi, hakuna hela za kuchezea! sent from servant of God
  5. shandaraiz

    DAR: Almasi yenye thamani ya Sh. Bilioni 32 yanaswa airport ikisafirishwa kwenda Ubelgiji

    Tuambie iwapo walikuwa wakisafirisha almasi hiyo kinyume cha sheria. Weka taarifa yako vizuri sent from servant of God
  6. shandaraiz

    Prof. Muhongo: Mtu aliyesoma vizuri hateteleki

    Huyu profesa wa miamba pale GEOLOGY udsm. Elimu ni hazina., Tumekusoma mhe. prof sent from servant of God
  7. shandaraiz

    Ilichokifanya mahakama kuu ya Kenya ni sawa na alichokifanya Jecha Zanzibar

    Mimi ninachojiuliza ni kuhusu pale Kenya, vp endapo wakirudia uchaguzi na matokeo yakawa ni yale yale na dosari zikawa zilezile! !!! (which is most likely gonna happen) sent from servant of God
  8. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    wewe njoo kwa Yesu upate WOKOVU bro! Uzima wa milele unapatikana kwa Yesu bure. Njoo kabla mlango wa neema haujafungwa. Hayo mengine ni mbwembwe tu za akili. (Illusions) sent from servant of God
  9. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    All spiritual concerns are beyond logic! Logic depends on mind power. "Soul uses mind just as a tool and cannot be guided by it" Wayunani (Wagiriki) walidhani mambo ya Mungu yanajulikana kwa njia ya uwezo wa akili, matokeo yake waliishia kuabudu miungu sent from servant of God
  10. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Kama ni kweli umesoma maandiko Matakatifu na kuyakosoa, basi ujue wewe ni mtoto wa Ibilisi. NI Ibilisi pekee awezaye kukosoa Neno la Mungu. Ibilisi huenda kinyume na Mungu tangu awali sent from servant of God
  11. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Nimesadiki, tena nimejua kupitia Neno la Mungu (Biblia) Inaonekana wewe huwa husomi Maandiko Matakatifu ndio maana unapinga Injili ya Bwana Yesu kuhubiriwa. sent from servant of God
  12. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Bwana Yesu mwenyewe alikuwa akihubiri Injili mchana na usiku ! Tena kuna wakati alipiga siku tatu mfululizo nonstop!!! Injili ni ya maana kuliko huo usingizi wako. INJILI NDIO INAYOLETA UZIMA WA MILELE. sent from servant of God
  13. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Yeyote anayeipinga Injili ya Bwana Yesu - huyo ni wa Ibilisi! sent from servant of God
  14. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Na kama hutaki kuisikia Injili , fanya utaratibu ukaishi kuzimu na baba yako Ibilisi! sent from servant of God
  15. shandaraiz

    Ndugu zangu walokole haya mahubiri ya usiku wa manane si sawa kabisa

    Injili lazima ihubiriwe katika majira na nyakati zote! sent from servant of God
Back
Top Bottom