Nikiwa nafanya mafundisho ya ubatizo kanisa lipo pugu kuna mtoto anaitwa ester akawa amenielewa kinoma ile mbaya.
Sasa siku naondoka kurudi nyumbani Singida akaniomba tuonane, alhamisi tukaingia kanisani tukasali tukatoka mida ya saa 12 jioni nikamsindikiza maeneo ya kwao kuelekea Pugu Mnadani...
Kwa mtazomo wangu najua kila mtu anajua yeye ni wa motoni au wa peponi.
Kwasababu unaposema hujui wew utaenda wapi maana yake huyatambui mema na mabaya
Asanteni.
Nawasilisha
Kwanza kabisa kale kameza pale kuna siku mtu ataanguka mbele ya kamera namaanisha chumba cha kusomea habari ni kidogo geto langu kubwa Yaana hata kuna baadhi ya sebule za watu wa kawaida zinawazidi kwa ubora chumba cha kusomea habari sijui kina miaka mingapi hakibadilishwi muonekano.
Cha...
Habari za humu wanajukwaa, natumai hamjambo wote.
Kisa changu kipo hivi
Mimi wakati huo nilikuwa naweza tu kuogelea umbali kama mita 3 tu napumzika, sasa siku ya kati kati ya wiki nikaenda zangu coco.
Kupun ga upepo nikafika nikakodisha boya kwa buku nikaingia zangu kwenye maji kuogelea, kwa...
Katika familia yangu tuko watu 27 wa baba mmoja ila ni mimi pekee ninayetumia mitandao ya kijamii kuanzia FB, WhatsApp, Jamii Forums na kathalika, je kwenu mpo wangapi wa familia moja?
Nikiwa zangu nimetulia na familia yangu chini ya mti hapa nyumbani akaja paka na mwanae wakakaa pembeni yetu kama kawaida kwa paka wanaoishi vizuri na binadamu hawaogopi hata wanaweza kukuchezea kama kuku tupia mguu hivi
Basi bhana yule paka mdogo sijui ni shetani gani alimuingia ghafla...
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi,
Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu. Natumai mko poa kabisa.
Mada yangu kama inavyosema hapo juu,
Mimi nakumbuka kuna mdada kipindi nimeajiriwa kazi ya duka,
Alinikuta siku moja nakula nikamkaribisha tukala siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.