Naunga mkono wazo la kutengeneza daraja toka Fire hadi Magomeni. Ifanyike Feasibility study, resources ziwe mobilized na utekelezaji ufanywe.Tatizo la Jangwani litakuwa historia. Angalizo: Transparency ktk. Kila hatua iwepo na usimamizi uwe madhubuti ili quality ya daraja iwe 100 percent.
Mungu akutie Nguvu. Soma zaburi ya 23. Nakushauri uingie google usome tiba ya cancer kwa kutumia majani mti wa stafeli. Kuna literature ya kufaa sana. Kama utahitaji Msaada zaidi piga simu 0766805757.Mungu akubariki.
Nenda Regency Hospital wana maabara ya kisasa na qualified & efficient manpower na wanapokea card za bima za afya.Ipo karibu na jengo la umoja wa vijana au adjacent na Agakhan Secondary School.
Kutokea Tegeta kwa Ndevu unashuka na barabara kupitia kituo cha polisi then uliza Ladi Hoteli then trace ile sehemu ya tatizo from Ladi Hotel. My nr. 0766805757. Actully mimi ni mpitanjia na siyo mteja. Na kwa vile nimeiona hiyo hatari nikaona ni busara kutoa taarifa Tanesco.
TAARIFA : Kuna nguzo imeinama na Nyaya za umeme zipo chini sana usawa wa kichwa cha mtu mfupi na ni hatari kwa jamii. Eneo lenyewe ni Tegeta karibu na Ladi Hoteli.
Nina motor vehicle auto garage ambayo ni operational na ipo housed ktk eneo langu la ukubwa karibu ekari 2. Lengo ni kuiboresha kwa kuongeza mashine na tools zingine. Skilled labour ipo. Je naweza pata interested partner? Feasibility study niliandaa mwenyewe kwa kuwa mie ni economist.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.