hii issue iko very personal!kwa sababu moja kubwa kwamba kunavitu vingi vinatokea wakati mtoto hayupo(yaani ikiwa mimba)mfano:mimi nina mke na mtoto mmoja mtoto anampenda sana mama yake kwa sababu wako wote muda mwingi sana na mimi muda mwingi nawaza pesa ili nikirudi nyumbani wife na mtoto...
jane nadhani huko sahihi kusema unavigezo vyote coz hivyo vigezo umevipa kiwango gani?mie ni mwanaume sema nadhani inapotokea ninataka mchumba nitamtafuta tunaeendana kitabia,mtazamo na anayekubali kukosolewa,inawezekana kabisa jeni ukawa unakuwa pamoja na watu ambao hawako tayari kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.